Kujifukia na MwendawazimuLabda yupo chato
Huyu manka anakurupuka sana, hajui Urio ni diwani wa wapi, bure kabisaWe jamaa Diwani wa Kawe si yule mtoto wa Mama Rwakatare anaitwa Mutta Rwakatare!! Angalia file lako vizuri, Kunduchi nadhani ndio anaitwa Urio
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.
Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo
Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro
Chanzo: wwwchannel ten
Amesafiri kwenda kutafuta maishaMeya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.
Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo
Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro
Chanzo: wwwchannel ten
Wafuasi wake nai waliisha?? Hii tabia mpaka Rais Samia atakapochukua hatua sitahiki haitaisha. Itaendelea kulitafuna taifa kwa miaka mingi.So mlisema haya mambo yaliisha kwa mwendazake?
Paskal Jimbo lako ulilopata kura moja naona mnatafutana huko.Duh...!.
P
Amefichwa na nani? Kama hajaonekana kwenye vikao muda mrefu kwa nini hawakusema hadi leo?Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.
Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo
Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro
Chanzo: wwwchannel ten
Wale aliokuwa akiwatuma kuteka kwani nao wamekufa au wamezikwa naye? Jiongeze.So mlisema haya mambo yaliisha kwa mwendazake?
Kapata jimama hiyo !!Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.
Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo
Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro
Chanzo: wwwchannel ten
Post yako ndiyo nimeielewa kati ya zote nilizozisoma, hili somehow linaweza kuwa sababu kama kweli hajulikani alipo manake Bongo drama zimezidi yaani kubaini uongo ni upi na ukweli ni upi ni challenging task.Hii familia ilikuwa na mgogoro wa Mali na nduguze
Nadhan mgogoro unaweza kuwa sababu
Kuna Uzi upo humu unazungumzia haya
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sio kweliKuna mchepuko kamfungia. Yasemekana ni mpiga mitungi mzuri sana huyu. Na mitungi na bebez ni mapacha wanaofanana
Wewe hata mumeo akishindwa kukutafuna utaisingizia Chadema
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app