Hivi police si wameelekezwa kupiga risasi miguuni?(KAMA IMEBIDI) Sasa aliyepigwa kichwani Police walikuwa wanataka nini?! Hata hvyo cjaunga mkono kuchoma gari la yule jamaa aliyeonekana analia kwenye Tv jana.
anataka umaarufu tu huyoWhere is FaizaFoxy?? Maana jana wakati watu wanapigwa risasi amewakejeli eti Mwanza inaongozwa na CHADEMA. Aseme sasa ni CHADEMA waliowapiga watu risasi. CCM ni Jehanam ya Tanzania, chama cha majini hiki. Ndo maana wanataka damu zetu kila kuchwapo.
Jamani mbona wanasema hakuna wa2 waliuwawa? Ama wanaficha kwa sababu gani?Hivi police si wameelekezwa kupiga risasi miguuni?(KAMA IMEBIDI) Sasa aliyepigwa kichwani Police walikuwa wanataka nini?! Hata hvyo cjaunga mkono kuchoma gari la yule jamaa aliyeonekana analia kwenye Tv jana.
huyu mkurugenzi ndiye aliyempiga chini Wenja ili MASHA apite bila kupigwa kama hasipoondolewa hapo mwanza hali itakuwa ya uhasama
Jamani tupeni full story maana naona virakaraka tu humu JF hamna full story.1.Je nini has kimetokea? 2.Nini chanzo cha ke?3. Je police wameua na kuawa tena?4. Nini kinaendelea sasa?