ferre.g
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 2,215
- 327
Ndugu zangu habari za mwaka mpya.
Ni wazi shahiri kuwa meya huyu kauanza mwaka vibaya sana.
Ni ktk kikao cha WDC ambacho huwa cha wazi ilimbidi avunje kikao ili kuruhusu wananchi kutolewa nje.
Agenda ilokuwa inafuatia ni ya matumizi ya tshs 95 ml alizotumia kwenda China kama nauli ilihali nauli halisi ni tshs 3.ml go and return.
Ni madiwani wa chadema wapatao 16 walouwasha moto hadi kufikia na wa ccm kuungana pamoja kuwa arejeshe haraka pesa hizo.
Meya huyu wa STD 7 aligoma akidai zilitumika zote kwenye matumizi ya maradhi.... hapa akaamsha hasira za madiwani walioamka kwa pamoja na kumwagia maji mwili mzima.
Alikuwa ni Abbas kandoro alie mnusuru na kipogo kwa kushirikiana na na wana usalama hawa walituliza munkali ya madiwani.
Kandoro amemtaka meya huyo arejeshe fedha hizo kabla madiwani wa cdm hawajaenda kuutangazia umma na kuandamana jambo ambalo litashusha hadhi yake make chama chake kutokomea.
Nawasilisha
NB; Haya ni baadhi tu mengine nayaficha.
Ni wazi shahiri kuwa meya huyu kauanza mwaka vibaya sana.
Ni ktk kikao cha WDC ambacho huwa cha wazi ilimbidi avunje kikao ili kuruhusu wananchi kutolewa nje.
Agenda ilokuwa inafuatia ni ya matumizi ya tshs 95 ml alizotumia kwenda China kama nauli ilihali nauli halisi ni tshs 3.ml go and return.
Ni madiwani wa chadema wapatao 16 walouwasha moto hadi kufikia na wa ccm kuungana pamoja kuwa arejeshe haraka pesa hizo.
Meya huyu wa STD 7 aligoma akidai zilitumika zote kwenye matumizi ya maradhi.... hapa akaamsha hasira za madiwani walioamka kwa pamoja na kumwagia maji mwili mzima.
Alikuwa ni Abbas kandoro alie mnusuru na kipogo kwa kushirikiana na na wana usalama hawa walituliza munkali ya madiwani.
Kandoro amemtaka meya huyo arejeshe fedha hizo kabla madiwani wa cdm hawajaenda kuutangazia umma na kuandamana jambo ambalo litashusha hadhi yake make chama chake kutokomea.
Nawasilisha
NB; Haya ni baadhi tu mengine nayaficha.