Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Meya wa Dar es Salaam Dk Didas Masaburi, amesema yuko tayari kufikishwa mahakamani na siyo kuomba radhi wabunge wa mkoa huo baada ya kuwaambia wanafikiri kwakutumia Makalio! Badala ya Ubongo!.
Kauli hiyo ya Dr. asaburi inakuja zikiwa ni siku chache baada ya wawakilisha hao kumtaka kuwaomba radhi kwa kuwatusi vingenevyo watamburuza mahakamani. Dr. Masaburu alisema yuko tayari kupelekwa mahakani kwakua anauhakika na anachokizungunza.
Souce: Mwananchi 17/08/2011.
Kauli hiyo ya Dr. asaburi inakuja zikiwa ni siku chache baada ya wawakilisha hao kumtaka kuwaomba radhi kwa kuwatusi vingenevyo watamburuza mahakamani. Dr. Masaburu alisema yuko tayari kupelekwa mahakani kwakua anauhakika na anachokizungunza.
Souce: Mwananchi 17/08/2011.