<br />WOTE ni Wanyang'anyi - Kama ilivyo kuanzia kwa Mkuu wa Kaya mpaka mjumbe wa mtaa!<br />
<br />
Wa_Tanzania wote ni wezi na hamna mtu wa kumnyooshea kidole mwenzake - Taifa lililooza - SHAME!
<br />
bado awamu nyingine ya uhuru
<br />WOTE ni Wanyang'anyi - Kama ilivyo kuanzia kwa Mkuu wa Kaya mpaka mjumbe wa mtaa!<br />
<br />
Wa_Tanzania wote ni wezi na hamna mtu wa kumnyooshea kidole mwenzake - Taifa lililooza - SHAME!
<br />ukisikia watu wanatishiana kwa matamshi ya 'mwaga mboga nimwage ugali' ujue lao moja.
<br />Hakuna msafi wote ni wezi wakubwa tu!<br />
Mgao wa UDA hawakupata kina Zungu ndiyo maana wanapiga kelele, na Masaburi, nae hakupata Mgao wa DDC na Machinga Complex ndiyo maana unasikia kelele hizi.<br />
Masabaru kama kweli alikuwa na dhamira ya dhati kuwatumikia wana Dar, alikuwa wapi kusema huo ufisadi wa DDC! mpaka wabunge wamesema ufisadi wa UDA ndiyo unajitokeza
<br />Hivi walikuwa wapi mpaka kuanza kulipuana sasa hivi?, anyway better late than never, waendelee kulipuana tu kwa faida ya nchi, lakini badala ya kusema takulipua kwanini wasilipue?<br />
<br />
Au wanangoja kuzibana midomo na kupeana mlungula
<br />Ukiwa mwana CCM ni sawa na kuwa mchawi, lazima tu utashiriki kula nyama za watu (wizi). Ndio maana kila mtu anamnyooshea kidole mwengine maana wanajuana wote, hakuna watu wasafi CCM!!
<br />&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Umeona eee? Mi mgeni bado mwoga mwoga lkn nitawachana tu, we subiri, mtaona tu.
<br />Hawa wavua magamba wote wezi, kila mmoja anakula kwa urefu wa kamba yake, dawa yao ni kufanya maamuzi magumu sisi wananchi. kama mh Lema alivyosema ni bora vita inayodai haki..................................................!
Hawalipuani kwa faida yetu kamwe,ni kwa faida yao na matoto yao<br />
<br />
<br />Ni kweli lakini hivi vita vyao kama vitatoa maovu yao tuombe Mungu wasipatane na waendelee kulipuana