Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,215
- 7,906
Katika kile ambacho hakukitarajia Meya wa Jiji la DSM, Isaya Mwita amejikuta akisota nje ya Ofisi yake katika Jengo la Karimjee baada ya kufika Ofisini hapo leo asubuhi na kukuta mlango wa Ofisi yake umebadilishwa Password za kuingilia.
Isaya Mwita amesema, "Wamebadilisha Pasword za mlango wa Ofisi yangu ili jambo sio la kawaida sana lakini naendelea na nitaendelea kuwa Meya wa Jiji hili, nimeamua lolote litakalonikuta litanikuta niliapa kuulinda Umeya kwa maslahi ya Watu wa DSM sitoogopa chochote, yeyote na sina hofu yoyote"
Pia soma
i. Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita Meya anyang’anywa gari, ofisi yafungwa. Adai kuwa yeye bado ni Meya halali
ii. Meya Issaya Mwita atinga ofisini kuendelea na kazi
Isaya Mwita amesema, "Wamebadilisha Pasword za mlango wa Ofisi yangu ili jambo sio la kawaida sana lakini naendelea na nitaendelea kuwa Meya wa Jiji hili, nimeamua lolote litakalonikuta litanikuta niliapa kuulinda Umeya kwa maslahi ya Watu wa DSM sitoogopa chochote, yeyote na sina hofu yoyote"
Pia soma
i. Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita Meya anyang’anywa gari, ofisi yafungwa. Adai kuwa yeye bado ni Meya halali
ii. Meya Issaya Mwita atinga ofisini kuendelea na kazi