jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Meya wa Jiji la Arusha Mheshimiwa Kalist Lazaro amemuomba mkuu wa Mkoa wa Arusha amualike Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli jijini Arusha ili aje kupokea Shukrani na pongezi badala ya malalamiko.
Meya Lazaro ametaja baadhi ya miradi ya mfano na mafanikio iliyofanywa na Serikali jijini Arusha na pia kuelezea ushirikiano kati yake na Mkuu wa Mkoa Mh. Mrisho Gambo.
VIVA JPM
KARIBU ARACHUGA !!
Meya Lazaro ametaja baadhi ya miradi ya mfano na mafanikio iliyofanywa na Serikali jijini Arusha na pia kuelezea ushirikiano kati yake na Mkuu wa Mkoa Mh. Mrisho Gambo.
VIVA JPM
KARIBU ARACHUGA !!