Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Kuwa kuna mgawanyiko mkubwa kati ya madiwani wenye asili ya mji huu na wasio na asili na mji huu kiasi cha kwamba shutma mbali mbali zinatuptwa kuanzia za rushwa mpaka hizo za toka kwa wenye asili na mji huu wamesema hawawezi kuwa na Meya ambaye hajatahiriwa (Govi), Mjaluo na tatu hajui kitu kuhusu huu mji.
Kwa sababu nishaambiwa niache kuongea kwa riddles asiyetakiwa nibwana Masaburi ambaye so far amekuwa akimwaga fedha luluki kiasi cha kwamba akina Saggaf na Tarimba (pamoja na mijihela ya nesho lotery) hawajui cha kumfanya. Kwani keshatoa tenda za car clumping hapa Dar kwa hao aliowaachia milioni 5 na pia kawaahidi tenda ya kukusanya mapato Ferry atawapa iwapo watampa support (just when you thought we've seen enough of money based campaign wakati wa uchaguzi mkuu).
As we speak Masaburi inasemekana kesha spend zaidi ya milioni 600 na mwenyewe anasema anataka oanekane kama vile Meya Bloomberg wa New York!!!
Anyway habari ndio hiyo na najua dogo wa Ilala ni memba humu hivyo najua habari hii itamfikia tuu Masaburi usiku huu na kama ana bisha aje kukanusha
Kwa sababu nishaambiwa niache kuongea kwa riddles asiyetakiwa nibwana Masaburi ambaye so far amekuwa akimwaga fedha luluki kiasi cha kwamba akina Saggaf na Tarimba (pamoja na mijihela ya nesho lotery) hawajui cha kumfanya. Kwani keshatoa tenda za car clumping hapa Dar kwa hao aliowaachia milioni 5 na pia kawaahidi tenda ya kukusanya mapato Ferry atawapa iwapo watampa support (just when you thought we've seen enough of money based campaign wakati wa uchaguzi mkuu).
As we speak Masaburi inasemekana kesha spend zaidi ya milioni 600 na mwenyewe anasema anataka oanekane kama vile Meya Bloomberg wa New York!!!
Anyway habari ndio hiyo na najua dogo wa Ilala ni memba humu hivyo najua habari hii itamfikia tuu Masaburi usiku huu na kama ana bisha aje kukanusha