Elections 2010 Meya wa CCM Gaudence Lyimo a.k.a Gaimo na mapadre wakongo

Mfamaji

JF-Expert Member
Nov 6, 2007
6,631
1,925
Habari za kiinteligensia kutoka AR zinasema Lyimo Meya wa CCM ambaye alikuwa kiongozi katika baraza la Walei Parokia Ya Kijenge likongozwa na Marehemu Sam Mdee, na Mzee mwingine aitwae Makeba waliwanyanyasa mapadre watawa kutoka Demokrasia YA Kongo kiasi cha kuwadhalilisha mbele za waumini . Mapdre hao waliondoka baada ya kushindwa kuvumila huku wakilia machozi na kusema sala zao zitawahusu akina Lyimo, Sam Mdee na Makeba.

Hata wachangiaji mkisema ni majungu au vipi shauri yenu. Waumini wa Kijenge bila shaka ni mashahidi wa hili. Na sala za Mafadha hao kweli zimejibu. Mdee alikabwa na mfupa wa Kuku akafa two years ago. Makeba ni mgonjwa wa miguu kitandani mwaka wa pili hawezi kunyanyua mguu. Yuko kwenye wheel chair .

Lyimo kashaingiza Arusha kwenye janga la mauaji. Na bado anang'ngania madaraka ya wizi huku wakuu zake akina Makamba na Chatanda wakiwakebehi watu wa Mungu kupitia yeye.

Nawasilisha
 
Habari za kiinteligensia kutoka AR zinasema Lyimo Meya wa CCM ambaye alikuwa kiongozi katika baraza la Walei likongozwa Parokia Ya Kijenge ikiongozwa na Marehemu Sam Mdee, na Mzee mwingine aitwae Makeba waliwanyanyasa mapadre watawa kutoka Kongo kiasi cha kuwadhalilisha mbele za waumini . Mapdre hao waliondoka wakilia machozi na kusema sala zao zitawahusu akina Lyimo, Sam Mdee na Makeba.

Hata wachangiaji mkisema ni majungu au vipi shauri yenu. Ila sala za Mafadha hao kweli zimejibu. Mdee alikabwa na mfupa wa Kuku akafa two years ago. Makeba ni mgonjwa wa miguu kitandani mwaka wa pili hawezi kunyanyua mguu. Yuko kwenye wheel chair .

Lyimo kashaingiza Arusha kwenye janga la mauaji. Na bado anang'ngania madaraka ya wizi huku wakuu zake akina Makamba na Chatanda wakiwakebehi watu wa Mungu kupitia yeye.

Nawasilisha
DU!
Hakuna chombo chochote kilichoongelea hili ukakinukuu mkuu?
Mbona ni ishu kubwa hii?
Hao Mapadre walinyanyaswaje na hawa baradhuli?
 
Habari za kiinteligensia kutoka AR zinasema Lyimo Meya wa CCM ambaye alikuwa kiongozi katika baraza la Walei Parokia Ya Kijenge likongozwa na Marehemu Sam Mdee, na Mzee mwingine aitwae Makeba waliwanyanyasa mapadre watawa kutoka Demokrasia YA Kongo kiasi cha kuwadhalilisha mbele za waumini . Mapdre hao waliondoka baada ya kushindwa kuvumila huku wakilia machozi na kusema sala zao zitawahusu akina Lyimo, Sam Mdee na Makeba.

Hata wachangiaji mkisema ni majungu au vipi shauri yenu. Waumini wa Kijenge bila shaka ni mashahidi wa hili. Na sala za Mafadha hao kweli zimejibu. Mdee alikabwa na mfupa wa Kuku akafa two years ago. Makeba ni mgonjwa wa miguu kitandani mwaka wa pili hawezi kunyanyua mguu. Yuko kwenye wheel chair .

Lyimo kashaingiza Arusha kwenye janga la mauaji. Na bado anang'ngania madaraka ya wizi huku wakuu zake akina Makamba na Chatanda wakiwakebehi watu wa Mungu kupitia yeye.

Nawasilisha

Kumbe huyu jamaa ni mafia eeeh?
 
huyo aliekabwa mfupa ni pale sakina bar? Kwenye kuku wa kuchoma...huyu anae ng'ang'ania u-meya atakufa vibaya
 
Mbona hii ishu ya kukabwa na mfupa inahusiana na kula fedha za kujenga cathedral pale AR.does it mean Lymo alihusika?leteni details jamani...
 
Mbona hii ishu ya kukabwa na mfupa inahusiana na kula fedha za kujenga cathedral pale AR.doer it mean Lymo alihusika?leteni details jamani...
 
Inatisha sana jamani, nadhani hata yeye anatamani kujiudhulu lakini shinikizo tu la chama chake.
 
Why now, mngeitoa wakati muafaka. Something wrong somewhere.

Something wrong kwa kweli. Na hiyo something ndiyo hii tunakuambia leo ujue ni kwa nini pamoja na kuhujumu uchaguzi huyu naye ni fake kimaadili. Alikuwa Diwani pia na madudu aliyofanya huko yataletwa muda sii mrefu.
 
Habari za kiinteligensia kutoka AR zinasema Lyimo Meya wa CCM ambaye alikuwa kiongozi katika baraza la Walei Parokia Ya Kijenge likongozwa na Marehemu Sam Mdee, na Mzee mwingine aitwae Makeba waliwanyanyasa mapadre watawa kutoka Demokrasia YA Kongo kiasi cha kuwadhalilisha mbele za waumini . Mapdre hao waliondoka baada ya kushindwa kuvumila huku wakilia machozi na kusema sala zao zitawahusu akina Lyimo, Sam Mdee na Makeba.

Hata wachangiaji mkisema ni majungu au vipi shauri yenu. Waumini wa Kijenge bila shaka ni mashahidi wa hili. Na sala za Mafadha hao kweli zimejibu. Mdee alikabwa na mfupa wa Kuku akafa two years ago. Makeba ni mgonjwa wa miguu kitandani mwaka wa pili hawezi kunyanyua mguu. Yuko kwenye wheel chair .

Lyimo kashaingiza Arusha kwenye janga la mauaji. Na bado anang'ngania madaraka ya wizi huku wakuu zake akina Makamba na Chatanda wakiwakebehi watu wa Mungu kupitia yeye.

Nawasilisha

Malipo yako hapa hapa Duniani ukimtenda mwenzio nawe utatendwa tuuu hakuna ku escape kwa ubaya ulioufanya kwa wenzio

 
Habari za kiinteligensia kutoka AR zinasema Lyimo Meya wa CCM ambaye alikuwa kiongozi katika baraza la Walei Parokia Ya Kijenge likongozwa na Marehemu Sam Mdee, na Mzee mwingine aitwae Makeba waliwanyanyasa mapadre watawa kutoka Demokrasia YA Kongo kiasi cha kuwadhalilisha mbele za waumini . Mapdre hao waliondoka baada ya kushindwa kuvumila huku wakilia machozi na kusema sala zao zitawahusu akina Lyimo, Sam Mdee na Makeba.

Hata wachangiaji mkisema ni majungu au vipi shauri yenu. Waumini wa Kijenge bila shaka ni mashahidi wa hili. Na sala za Mafadha hao kweli zimejibu. Mdee alikabwa na mfupa wa Kuku akafa two years ago. Makeba ni mgonjwa wa miguu kitandani mwaka wa pili hawezi kunyanyua mguu. Yuko kwenye wheel chair .

Lyimo kashaingiza Arusha kwenye janga la mauaji. Na bado anang'ngania madaraka ya wizi huku wakuu zake akina Makamba na Chatanda wakiwakebehi watu wa Mungu kupitia yeye.

Nawasilisha




Source hapa jamani. Ni kweli jamaa alikabwa na mfupa akafa na Makweba ni mgonjwa kwa muda sana na anatembelea wheelchair ila mbona sisi waumini wa Kijenge hatujawahi kuipata hii?? Source ni wapi?
 
Sometimes tunapata shida na watu kumbe wana laana zao,hata kwa ndugu ukikuta mtu alisemewa neno na baba yake au mtumishi waga wanakuwa ni mzigo sana kwa familia sasa ndo ya huyu?Gaudence ni contractor mkubwa,hawezi kuwa safi kuwa hapo alipo na kung'ang'ania kubaki hapo,anawekwa hapo na wala rushwa wenzie ambao wanajua Arusha ikienda upinzani mengi yatafichuka na mapato yao yatakuwa mashakani,it is as simple as that.
 
Habari za kiinteligensia kutoka AR zinasema Lyimo Meya wa CCM ambaye alikuwa kiongozi katika baraza la Walei Parokia Ya Kijenge likongozwa na Marehemu Sam Mdee, na Mzee mwingine aitwae Makeba waliwanyanyasa mapadre watawa kutoka Demokrasia YA Kongo kiasi cha kuwadhalilisha mbele za waumini . Mapdre hao waliondoka baada ya kushindwa kuvumila huku wakilia machozi na kusema sala zao zitawahusu akina Lyimo, Sam Mdee na Makeba.

Hata wachangiaji mkisema ni majungu au vipi shauri yenu. Waumini wa Kijenge bila shaka ni mashahidi wa hili. Na sala za Mafadha hao kweli zimejibu. Mdee alikabwa na mfupa wa Kuku akafa two years ago. Makeba ni mgonjwa wa miguu kitandani mwaka wa pili hawezi kunyanyua mguu. Yuko kwenye wheel chair .

Lyimo kashaingiza Arusha kwenye janga la mauaji. Na bado anang'ngania madaraka ya wizi huku wakuu zake akina Makamba na Chatanda wakiwakebehi watu wa Mungu kupitia yeye.

Nawasilisha

CRAP!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi jamani ugreat thinker wetu upo wapi? mtu anakuja na stori haina kichwa wala miguu kwa stori za kuunga unga.
Alipo hojiwa slaa kuhusu madudu yaliofanyika akiwa padri tulikuwa wakwanza kung'aka tusihusishe upadri wake na siasa.
Inatosha kusema jinsi alivyopora ushindi wa umeya na si kutuletea imani yako, unadhani wote wanaamini mungu unvyoamini wewe.
Great thinkers now days wanakuwa wanendeshwa hata na machizi ilimradi tu upost kitu wanachopenda kusikia wao hata kama hakina mantiki yoyote, basi watachangia tu kwa kuunga mkono.
CRAP!!!!!!!!!!!
 
CRAP!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi jamani ugreat thinker wetu upo wapi? mtu anakuja na stori haina kichwa wala miguu kwa stori za kuunga unga.
Alipo hojiwa slaa kuhusu madudu yaliofanyika akiwa padri tulikuwa wakwanza kung'aka tusihusishe upadri wake na siasa.
Inatosha kusema jinsi alivyopora ushindi wa umeya na si kutuletea imani yako, unadhani wote wanaamini mungu unvyoamini wewe.
Great thinkers now days wanakuwa wanendeshwa hata na machizi ilimradi tu upost kitu wanachopenda kusikia wao hata kama hakina mantiki yoyote, basi watachangia tu kwa kuunga mkono.
CRAP!!!!!!!!!!!
kweli usilolijua ni sawa na kiza.... Hii kashfa ya gaudence ni kuanzia 2000 mtafuteni fr.tarimo wa njiro
 
kweli usilolijua ni sawa na kiza.... Hii kashfa ya gaudence ni kuanzia 2000 mtafuteni fr.tarimo wa njiro

Mkuu hizi ndio siasa za majitaka tulizokuwa tunaongela dhidi ya dr slaa.
Hivi inaingia akilini kusema Mungu analipiza hapa duniani kwa yaliyotokea arusha kwasababu aliwanyanyasa mapadri wenzake, na unaweza linganisha yaliyotokea arusha ni adhabu endelezi ya Mungu kama aliyowapa wenzake aliekwama na mfupa na kufa na anayeumwa miguu taabani.
THIS IS CRAP!!!
Ni mapadri wangapi wanabaka na hatuoni hizo adhabu za Mungu, niwangapi wamezalisha wanakwaya na waumini wao na wanawanyanyasa wasijulikane nambona hatuoni hizo hukumu kutwa tunashinda nao.
Hizo ni imani zenu tu, hakuna upuuzi kama huo mkuu
 
upinzani mengi yatafichuka na mapato yao yatakuwa mashakani,it is as simple as that

Michelle samahani mficha uchi hazai, Mimi ni kijana nina miaka 35 ninatafuta mke wa kuoa naomba nikuchumbie kama hujaoleowa nimekuzimia. Nijibu nikitumia namba yangu.

Mapenzi ni kikohozi
 
CRAP!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi jamani ugreat thinker wetu upo wapi? mtu anakuja na stori haina kichwa wala miguu kwa stori za kuunga unga.
Alipo hojiwa slaa kuhusu madudu yaliofanyika akiwa padri tulikuwa wakwanza kung'aka tusihusishe upadri wake na siasa.
Inatosha kusema jinsi alivyopora ushindi wa umeya na si kutuletea imani yako, unadhani wote wanaamini mungu unvyoamini wewe.
Great thinkers now days wanakuwa wanendeshwa hata na machizi ilimradi tu upost kitu wanachopenda kusikia wao hata kama hakina mantiki yoyote, basi watachangia tu kwa kuunga mkono.
CRAP!!!!!!!!!!!

Rafiki yetu ama kweli wewe ndo crap, ushahidi wote huo unaotolewa na wadau wewe bado unang'ang'ana na hoja za kijinga huku unajificha katika u great thinker? Toka lini crap akawa great thinker? Matope matupu!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom