Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,925
Habari za kiinteligensia kutoka AR zinasema Lyimo Meya wa CCM ambaye alikuwa kiongozi katika baraza la Walei Parokia Ya Kijenge likongozwa na Marehemu Sam Mdee, na Mzee mwingine aitwae Makeba waliwanyanyasa mapadre watawa kutoka Demokrasia YA Kongo kiasi cha kuwadhalilisha mbele za waumini . Mapdre hao waliondoka baada ya kushindwa kuvumila huku wakilia machozi na kusema sala zao zitawahusu akina Lyimo, Sam Mdee na Makeba.
Hata wachangiaji mkisema ni majungu au vipi shauri yenu. Waumini wa Kijenge bila shaka ni mashahidi wa hili. Na sala za Mafadha hao kweli zimejibu. Mdee alikabwa na mfupa wa Kuku akafa two years ago. Makeba ni mgonjwa wa miguu kitandani mwaka wa pili hawezi kunyanyua mguu. Yuko kwenye wheel chair .
Lyimo kashaingiza Arusha kwenye janga la mauaji. Na bado anang'ngania madaraka ya wizi huku wakuu zake akina Makamba na Chatanda wakiwakebehi watu wa Mungu kupitia yeye.
Nawasilisha
Hata wachangiaji mkisema ni majungu au vipi shauri yenu. Waumini wa Kijenge bila shaka ni mashahidi wa hili. Na sala za Mafadha hao kweli zimejibu. Mdee alikabwa na mfupa wa Kuku akafa two years ago. Makeba ni mgonjwa wa miguu kitandani mwaka wa pili hawezi kunyanyua mguu. Yuko kwenye wheel chair .
Lyimo kashaingiza Arusha kwenye janga la mauaji. Na bado anang'ngania madaraka ya wizi huku wakuu zake akina Makamba na Chatanda wakiwakebehi watu wa Mungu kupitia yeye.
Nawasilisha