SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,758
Tanzania ni zaidi ya uijuavyo, hata Benjamin William Mkapa siyo raia wa Tanzania, yeye ni M'meto kutoka Msumbiji.
Wahaya wote si watanzania,period
Wote wapuuzi!
UMEPATIA.Good.Unamaanisha hata Waziri Kagasheki naye si Raia wa Tanzania?!
UMEPATIA.Good.
Wanabodi, kitendo cha waziri Kagasheki kukiri mbele ya umma kwamba alipindisha sheria na kuwapa hati za kusafiria wahamiaji haramu, ni either ajiuzuru au Rais amfukuze kazi mara moja na asipomfukuza kazi naomba nguvu ya umma imsaidie rais kumwondoa huyu waziri
Morinyo UPO JUU MKUU, HIYO HADITHI YA kABENDERA Shinani nimeipata kwa uhakika kwa mdau mzuri wa siasa za tANZANIA , uGANDA NA rWANDAMwaka 2001 nakumbuka huyu bwana pamoja na mtu mmoja aliyeitwa Kabendera Shinani(mwandishi wa Bbc) waliambiwa warundi makwao, Kabendera alipewa tuhuma za mauaji ya halaiki nchini Rwanda hakua na jinsi akaamua kujiua kwa kujirusha majini.
Kama Uhamiaji aliweka sheria pemben,je huko kwenye pembe za tembo? Na wanyama..atazisogeza pembeni.