Meya Ubungo: RC amelazimisha bango la mtaa wa Wanyama kuondolewa, kisa waliomleta ni Clouds Media

Huyu Jacob ni Meya bahaluli, anazalilisha hii nafasi sana

Ni kweli kabisa.

Meya anatakiwa awe na uwezo wa kuwasiliana na jamii na kuihifadhi hadhi ya ofisi yake. Public statement kama hii inasomwa na watu wengi sana. Ndani na nje ya nchi. Huyo aliyetajwa hapo kama DAUDI ALBERT BASHITE ni nani? Mwandishi akitaka kumtafuta kumhoji (wa kutoka Malawi kwa nfano), atampata kumuuulize maswali?. Huyo aliyetajwa anaweza kuwajibishwa? Mkifungua malalamiko mtamwita nani? Mimi sina shida na jina la mtaa provided taratibu zimefuatwa. Majina ya mtaa yana sababu zake za kuwa kama jina lilivyo.

Kuna kitu Mungu ameepusha hii nchi. Pengine huyu Meya angekuwa ndio Waziri wa fedha!

Mimi nafikiri agenda kuu siyo hiyo nia ya kuupa jina huo mataa. Agenda ni hizi:
  1. Hii michezo inaandaliwa kati ya Cloud na wapinzani. Wana predict exactly reaction itakuwaje na wanafanya simulation ya namna ya ku-respond kwa ajili ya kufikia lengo-publicity.
  2. Hili lilikuwa ni dili na pale ilikuwa kusafisha hewa. Baada ya hapo watu wangepewa tenda ya kutengeneza vibao ubungo nzima.
Cha ajabu mitaa yenyewe haipitiki, unaweka kibao! Jana kuna watu walionyesha watu wanapita kwa taabu kwenye vichochoro pasipokuwa na daraja. Takataka zimejaaa mpaka sebuleni.

Nadhani angewauliza wana mtaa kero yao isingekuwa makibao hayo. Dr Slaa wakati akiwa mbunge kule Karatu, halmashauri ilikuwa role model. Jiji la Dar chini ya upinzani ni shida tu. Ushuru wa parking ni shida. Mpaka kwenye madimbwi wanakusanya. Hakuna maboresho yoyote; barabara za mtaa ni mbaya kuliko wakati mwingine wowote.

Meya apange shuhuli zake kwa nia ya kuwasadia wananchi.
 
Haya mambo ndio tunayoyalaani hapa. Unadai "mikwaruzano hiyo ingekuwa kwenye viwanda vya Ubungo na mambo ya maana" na mwisho unamponda Meya ili kuonyesha upande wako lakini kilichofanywa na Bashite unaona ni sawa kabisa!

Tueleze upuuzi wa Meya katika suala hili ni nini?
mkuu sijui nani yuko nyuma ya huo mchakato wa kung'oa zaidi ya kumwona mtu amebeba bango lililong'olewa kama unamjua na unauhakika usio na shaka siwezi kutia neno...

Kuhusu meya (Namkubali kuliko mameya wote nchini) amefanya kitu ambacho kilipaswa kufanywa na mwenyekiti wa mtaa/kitongoji au balozi wa nyumba kumi.
maoni yangu naomba nisipigwe mawe...
 
Ni kweli kabisa.

Meya anatakiwa awe na uwezo wa kuwasiliana na jamii na kuihifadhi hadhi ya ofisi yake. Public statement kama hii inasomwa na watu wengi sana. Ndani na nje ya nchi. Huyo aliyetajwa hapo kama DAUDI ALBERT BASHITE ni nani? Mwandishi akitaka kumtafuta kumhoji (wa kutoka Malawi kwa nfano), atampata kumuuulize maswali?. Huyo aliyetajwa anaweza kuwajibishwa? Mkifungua malalamiko mtamwita nani? Mimi sina shida na jina la mtaa provided taratibu zimefuatwa. Majina ya mtaa yana sababu zake za kuwa kama jina lilivyo.

Kuna kitu Mungu ameepusha hii nchi. Pengine huyu Meya angekuwa ndio Waziri wa fedha!

Mimi nafikiri agenda kuu siyo hiyo nia ya kuupa jina huo mataa. Agenda ni hizi:
  1. Hii michezo inaandaliwa kati ya Cloud na wapinzani. Wana predict exactly reaction itakuwaje na wanafanya simulation ya namna ya ku-respond kwa ajili ya kufikia lengo-publicity.
  2. Hili lilikuwa ni dili na pale ilikuwa kusafisha hewa. Baada ya hapo watu wangepewa tenda ya kutengeneza vibao ubungo nzima.
Cha ajabu mitaa yenyewe haipitiki, unaweka kibao! Jana kuna watu walionyesha watu wanapita kwa taabu kwenye vichochoro pasipokuwa na daraja. Takataka zimejaaa mpaka sebuleni.

Nadhani angewauliza wana mtaa kero yao isingekuwa makibao hayo. Dr Slaa wakati akiwa mbunge kule Karatu, halmashauri ilikuwa role model. Jiji la Dar chini ya upinzani ni shida tu. Ushuru wa parking ni shida. Mpaka kwenye madimbwi wanakusanya. Hakuna maboresho yoyote; barabara za mtaa ni mbaya kuliko wakati mwingine wowote.

Meya apange shuhuli zake kwa nia ya kuwasadia wananchi.
Jiji la Mwanza lipo ktk hali gani na lipo chini ya nani?
 
Mitale nakuheshimu haswa kwa hoja zako. Ukiachia mapungufu mengi waliyo nayo cdm kama watu na chama. Unataka kusema kweli huo upuuzi unaoendelea hapo iwapo ingekuwa ni kiwanda au mradi mwingine hizo hatua zilizochukuliwa zisingechukuliwa? Hicho ulichokiona hapo ndio aina ya siasa za watawala wetu wa sasa na za kiafrika kwa ujumla, sitaki kuwataja kwani wanaeleweka dhahiri.

Ngoja nikuambie hicho kinachofanyika hapo ni kidogo lakini kwangu ni cha kawaida sana kutokana na siasa zetu za ushindani ni uadui na unapokuwa madarakani ni nongwa mshindani wako kufanya jambo eti atakushinda. Kuna mtambo waliagizwa hao wapinzani wa kuchakata taka na kuwa mbolea, mradi ule ulikwama hadi leo na kisa haswa ni siasa japo zilitolewa sababu kama hizi unazozisikia sasa. Iko wazi mbunifu ni mbunifu tu hata ufanyeje kakuzidi.

Ila nikuambie aina hii ya siasa huwa zina madhara makubwa sana huko mbeleni. Iko siku atapata madaraka yule unayemfanyia uhuni leo, na kwa kuongozwa na aina ya siasa zetu za kipuuzi hutaamini kitakachowatokea hao leo wenye kiburi cha madaraka. Kama huamini nenda kamuulize Sumaye wa 1995-2005, na Lowasa wa 2005-2008, leo hii wanaugulia yale yale waliyoona ni sawa kuyatenda walipokuwa mawaziri wakuu.
pamoja na maelezo yako mazuri mkuu.
Hilo zoezi la mtaa lilipaswa kufanywa na mwenyekiti wa mtaa,Balozi au Mtendaji namtafsiri meya kama Mtu wa kariba ya ubunifu wa level za juu kuliko mambo ya majina ya mitaa.
Ninamkubali Huyo meya kwa Ubunifu mwingine kama mifano uliyotoa wa kuchakata taka...
kama alikuzuiwa sifahamu sababu na facts behind what happened.
 
Kwani kifezo cha kutoa majina ya mtaa ni yapi?
Majina mengine ya mtaa yametokana na mazoea fulani ktk mtaa huo na mengine pia ni ya kupewa tu, km Yule lingistone alifanya nini kwetu mpk tumkumbuke? Eti Mtaa kuitwa kwa jina la yule mzungu LIVINGSTONE STREET ni issue kuliko kuitwa mtaa kwa ndugu yetu mwana afrika mashariki?
 
Hawa ndio wanauzaga mali za mtaa kimyakimya bila kuwajuza wajumbe au wananchi.

Yaani maamuzi yanafanyikia bar

Jingalao sitaki kupinga mawazo yako kwani ww ni mmoja ya watu wanaosababisha demokrasia kutimia humu jukwaani na nchini kwa ujumla hata kama ni pumba lakini tunavumiliana hivyohivyo. Wakati tunapambana kuzuia bango la Wanyama ambapo huo mtaa hakuna nyumba hata moja iliyobomoka kwa uwepo wa hilo bango, Wakenya kwa mujibu wa kituo cha uwekezaji cha TIC ndio wanaoongoza kwa uwekezaji nchini. Ingia kwenye maduka yetu bidhaa za Kenya zimejaa tena zikiwa na ubora kuliko zetu. Hilo haliwaumizi kabisa hao walioumizwa na hilo bango la Wanyama lililowekwa na meya. Nenda Kenya uone kuna kunabidhaa nyingi hivyo toka Tz.

Wakenya wanaoingia hapa jukwaani wanatuona madunya kwelikweli. Haitopita hata siku nyingi utasikia wanasema Serengeti iko kwao. Haya madini ya tanzanite yanafahamika yanatoka Kenya, huku kwetu viongozi wa serekali wanaleta maendeleo kwa kung'oa vibao vya majina ya mtaa kisa limewekwa na mtu wa itakadi tofauti. Mpaka sasa mitaa yetu kibao ina majina ya viongozi na watu wa nje, ni nini tumekipata au kupoteza kwa majina hayo hakuna. Kibaya zaidi mawazo haya mfu na chuki hizi za kisiasa zinaanzia toka kwa mkulu mpaka raia wa kawaida!!
 
Sheria inataka halmashauri kutoa jina. Kwa maana ya protocol RC angepewa tu taarifa
Hilo nakubali, lkn kumekuwepo na contradictions nyingi kuhusu sheria zetu, bado katika majukumu ya Rc kuna vipengele vinampa power ya kusimamia na kuratibu chochote kinachofanyika ndani ya mkoa wake, mana ikitokea sintofahamu yoyote yeye ndo wa kwanza kuwa quationed.
 
Kama mna anzisha mambo ya msingi ndani ya mkoa, kwanini mkuu wa mkoa huo ambae ndo kiongozi mkuu katika mkoa wake msimjulishe? Kwani kuna ubaya gani mkimjulisha mkakati wenu wowote kwa manufaa ya mkoa wenu?

Lazima tufuate chain of command, vinginevyo tutabaki kulaumiana bure, bashite amehisi kudharaulika.

basi na Raisi ajulishwe au sio , upuuzi mtupu sio kila kitu kifike kwa bwana zero sheria inawapa nguvu serikali za mitaa kutoa majina ya mitaa kama ujui rudi shule
 
Hivi huyu Meya kaishia darasa la ngapi? Yaani anaweza akawa na ujumbe wa maana lakini analeta ulevi wa siasa.
 
KWA NIABA YA SERIKALI YANGU NAMUOMBA MSAMAHA VICTOR WANYAMA.
KAJA MWENYEWE KWA WEMA KUTEMBEA.ANAKUJA KUPEWA MTAA KAMA PONGEZI.HATA SIASA ZA CCM NA UKAWA HAZIJUI MASIKINI WA MUNGU.
LEO MMETOA BANGO LAKE.
INASIKITISHA KWA KWELI.
 
hilo jina linampa hasira kwa maana linamkumbusha DAB maeneo ya Jirani na ile hotel aliyopanga shilawadu wakamuhoji mdada aliyeaminika kuzaa na Askofu...
 
Ni kweli kabisa.

Meya anatakiwa awe na uwezo wa kuwasiliana na jamii na kuihifadhi hadhi ya ofisi yake. Public statement kama hii inasomwa na watu wengi sana. Ndani na nje ya nchi. Huyo aliyetajwa hapo kama DAUDI ALBERT BASHITE ni nani? Mwandishi akitaka kumtafuta kumhoji (wa kutoka Malawi kwa nfano), atampata kumuuulize maswali?. Huyo aliyetajwa anaweza kuwajibishwa? Mkifungua malalamiko mtamwita nani? Mimi sina shida na jina la mtaa provided taratibu zimefuatwa. Majina ya mtaa yana sababu zake za kuwa kama jina lilivyo.

Kuna kitu Mungu ameepusha hii nchi. Pengine huyu Meya angekuwa ndio Waziri wa fedha!

Mimi nafikiri agenda kuu siyo hiyo nia ya kuupa jina huo mataa. Agenda ni hizi:
  1. Hii michezo inaandaliwa kati ya Cloud na wapinzani. Wana predict exactly reaction itakuwaje na wanafanya simulation ya namna ya ku-respond kwa ajili ya kufikia lengo-publicity.
  2. Hili lilikuwa ni dili na pale ilikuwa kusafisha hewa. Baada ya hapo watu wangepewa tenda ya kutengeneza vibao ubungo nzima.
Cha ajabu mitaa yenyewe haipitiki, unaweka kibao! Jana kuna watu walionyesha watu wanapita kwa taabu kwenye vichochoro pasipokuwa na daraja. Takataka zimejaaa mpaka sebuleni.

Nadhani angewauliza wana mtaa kero yao isingekuwa makibao hayo. Dr Slaa wakati akiwa mbunge kule Karatu, halmashauri ilikuwa role model. Jiji la Dar chini ya upinzani ni shida tu. Ushuru wa parking ni shida. Mpaka kwenye madimbwi wanakusanya. Hakuna maboresho yoyote; barabara za mtaa ni mbaya kuliko wakati mwingine wowote.

Meya apange shuhuli zake kwa nia ya kuwasadia wananchi.
Hayo mengine huenda uko sahihi ila hili la makusanyo au mapato ya jiji labda hujasikia au umeamua tu, kila kitu katika awamu hii ni serikali kuu ndio inakusanya nyinyi mtaletewa gawio lenu baadae.
Na kama mitaa kutopitika ni sababu ya kutofanya mengine basi aanza kuilaumu serikali inayokataza hata wapinzani kutembelea miradi ya maendeleo eti mpaka wapewe ruhusa
 
Back
Top Bottom