luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Katika kipindi cha matukio Times fm
Imekuja na ripoti ya mayor wa Temeke kuhoji uwepo wa soko la ghorofa Mbagala.
Kauli hii imetoka wakati wa kikao cha baraza la madiwani ambapo mayor alitolea mfano soko la ghorofa lkn pia mayor huyo ametoa rai kwa kamati ya fedha ya baraza ilo kutembelea mradi wa BRT Mbagala to Kkoo.
Hizi kauli za viongozi wetu zina shangasha
Imekuja na ripoti ya mayor wa Temeke kuhoji uwepo wa soko la ghorofa Mbagala.
Kauli hii imetoka wakati wa kikao cha baraza la madiwani ambapo mayor alitolea mfano soko la ghorofa lkn pia mayor huyo ametoa rai kwa kamati ya fedha ya baraza ilo kutembelea mradi wa BRT Mbagala to Kkoo.
Hizi kauli za viongozi wetu zina shangasha