Mbatizaji Mkuu
Member
- Jul 19, 2020
- 39
- 128
Akihojiwa na Kituo cha Nungwi online Fm Mstahiki Meya Wa Manispaa Ya Moshi Juma Raibu amekanusha vikali uwepo Wa Mgonjwa wa corona katika manispaa hiyo.
Hii inakuja ikiwa ni Masaa machache Tu toka Shule ya ISM kutangaza kufunga shule hiyo baada ya Mwanafunzi Mmoja kukutwa na Viashiria vya corona
Meya Raibu amesema tayari amewaelekeza Wasaidizi wake wafuatilie shule hiyo ili kuchukua hatua stahiki kwani Mwenye mamlaka ya Kupima na kutangaza Juu ya Ugonjwa huo ni Waziri Mkuu wa Nchi na sio Vinginevyo.
Meya Raibu Pia amesema Kesho Litatoka tamko Rasmi la serikali juu ya Taharuki hiyo ambayo ameifananisha na Vita vya uchumi dhidi ya Mkoa wa Kilimanjaro hasa katika nyanja ya utalii.
Hii inakuja ikiwa ni Masaa machache Tu toka Shule ya ISM kutangaza kufunga shule hiyo baada ya Mwanafunzi Mmoja kukutwa na Viashiria vya corona
Meya Raibu amesema tayari amewaelekeza Wasaidizi wake wafuatilie shule hiyo ili kuchukua hatua stahiki kwani Mwenye mamlaka ya Kupima na kutangaza Juu ya Ugonjwa huo ni Waziri Mkuu wa Nchi na sio Vinginevyo.
Meya Raibu Pia amesema Kesho Litatoka tamko Rasmi la serikali juu ya Taharuki hiyo ambayo ameifananisha na Vita vya uchumi dhidi ya Mkoa wa Kilimanjaro hasa katika nyanja ya utalii.