Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,954
- 93,931
Yaani "ISM" unaiita kashule mkuu...? Yaani shule ya kariba ya kina ISTHicho kishule kipitiwe na Afisa Elimu wa Mkoa na Kanda akiongozana na Maafisa wa TRA kujiridhisha masuala ya kikodi na Kitaaluma bila ya kuwasahau Maafisa wa Wizara ya Kazi na Idara ya Uhamiaji kuhakiki uhalali wa Wafanyakazi wao wa kigeni
Mamlaka ya kutangaza Corona yapo kwa Waziri wa Afya na Mamlaka ya juu yake tuโฆhicho kishule kimetoa wapi mamlaka hayo.