Meya na Mkuu wa Mkoa, ni nani inapaswa awe juu?

franklin12xx

Member
Sep 24, 2014
28
31
Katika jambo ambalo linanishangaza mno ni suala la ukuu wa mkoa na umeya.Hakika nchi hii ni ya ajabu haina mfano.Inakuwaje mkuu wa mkoa kama wa Dar es Salaam anakuwa anaheshimika na kupewa nafasi katika mambo muhimu huku cheo chake ni cha kuteuliwa tu wakati mameya ndio inabidi wawe na hayo majukumu.

Kwa mfano CRDB walivyotoa mchango wa madawati badala ya kumkabidhi meya wa jiji wamemkabidhi mkuu wa mkoa.

Sherehe na matukio muhimu mkuu wa mkoa ndio anapewa nafasi ilhali meya aliyechaguliwa na wananchi yupo yupo tu.

Matamko muhimu yanatolewa na mkuu wa mkoa huku meya wa jiji yupo tu kimya.

Hii katiba yetu kama ndio inaruhusu huu ujinga ni heri ifutiliwe mbali, haiwezekani mkuu wa mkoa, kateuliwa tu huku meya aliyetokana na kura za wananchi na madiwani wenzake anawekwa kando.

Kiukweli inasikitisha haya mambo.
 
Tanzania Meya hajawahi kuwa na heshima
nchi zingine meya anapigiwa kura moja kwa moja

Cheo cha mkuu wa mkoa ni cheo cha mfumo wa kijamaa na ki communists
hawa ni wawakilishi wa Rais...mkuu wa mkoa na wakuu wa wilaya....

Ndo maana katiba ya Warioba ilipendekezwa hivi vyeo vifutwe....
 
mkuu wa mkoa ni mkata viuno na mshereheshaji wa mfalme ambae ni rais ila linapokuja swala la maendeleo ya jiji na mipango yote ya kupanga na fedha mayor ndio msimamizi na ndio mwenye jiji kwenye mipango yoyote na hata kiongozi wa taifa lolote anapokuja hapa nchini kama atafikia dsm basi mayor ndie mtu muhimu hata kuliko mkuu wa mkoa,, kwa sasa siasa za lumumba ndio zinafanya kuwa hivi ila ukuu wa mikoa ni ulaji uhamasishaji na kutumia jeshi la polisi kutesa watu na kuwang'oa kucha
 
Tanzania Meya hajawahi kuwa na heshima
nchi zingine meya anapigiwa kura moja kwa moja

Cheo cha mkuu wa mkoa ni cheo cha mfumo wa kijamaa na ki communists
hawa ni wawakilishi wa Rais...mkuu wa mkoa na wakuu wa wilaya....

Ndo maana katiba ya Warioba ilipendekezwa hivi vyeo vifutwe....
Huyo mzee (warioba) ni corrupt tu!! Sioni umuhimu wa kumnukuu,
Mwanae kishapewa ukuu tayari.
 
mkuu wa mkoa ni mkata viuno na mshereheshaji wa mfalme ambae ni rais ila linapokuja swala la maendeleo ya jiji na mipango yote ya kupanga na fedha mayor ndio msimamizi na ndio mwenye jiji kwenye mipango yoyote na hata kiongozi wa taifa lolote anapokuja hapa nchini kama atafikia dsm basi mayor ndie mtu muhimu hata kuliko mkuu wa mkoa,, kwa sasa siasa za lumumba ndio zinafanya kuwa hivi ila ukuu wa mikoa ni ulaji uhamasishaji na kutumia jeshi la polisi kutesa watu na kuwang'oa kucha
Mnajifariji kwa akili za kijinga kwelikweli
 
mkuu wa mkoa ni mkata viuno na mshereheshaji wa mfalme ambae ni rais ila linapokuja swala la maendeleo ya jiji na mipango yote ya kupanga na fedha mayor ndio msimamizi na ndio mwenye jiji kwenye mipango yoyote na hata kiongozi wa taifa lolote anapokuja hapa nchini kama atafikia dsm basi mayor ndie mtu muhimu hata kuliko mkuu wa mkoa,, kwa sasa siasa za lumumba ndio zinafanya kuwa hivi ila ukuu wa mikoa ni ulaji uhamasishaji na kutumia jeshi la polisi kutesa watu na kuwang'oa kucha
Mnajifariji kwa akili za kijinga kwelikweli
 
Hili swali limeulizwa na mtu mwenye akili timamu ama na hawa walevi waliojazana JF! Maana siamini mtu mwenye akili timamu anaweza kuuliza swali lililo wazi kama hili. Ni sawa na kuuliza kati ya mwenyekiti na katubu Mkuu CHADEMA nani ni mkubwa
Huna lolote unalolijua,
Mana hujui hata kama RC ni mtumishi wa umma....yote unayoongea humu huwa ni matakataka tu

Kama ni ulevi basi wewe unaongoza, unless useme ulikuwa hujui kama RC ni mtumishi wa umma.
Nimekutoa maana
 
kwahio makonda ni mke wa mkuu wa kaya? kwahio tunatarajia kupata kakilaza kengine kuzaliwa hapo? acha kutumia unyayo kufikiria wewe ushuzi wa lumumba
Mkuu wa kaya ya Dar es Salaam ni nani kama siyo RC? naona haukunielewa wewe kihiyo wa UDOM
 
Mkuu wa kaya ya Dar es Salaam ni nani kama siyo RC? naona haukunielewa wewe kihiyo wa UDOM
wewe mkimbiza mwenge wa lumumba acha ukilaza wako wewe,,, huyo sio mkuu wa kaya ya dar es salaam yeye ni mke wa mkuu wa kaya kama ulivyo sema ndio maana siku hizi tumbo lake limekuwa kubwa,, tutarajie kakilaza kama wewe kuzaliwa,,, unajua nyie watoto mliopatikana kwenye mikesha ya mwenge ndio tatizo lenu hapo linakuja
 
wewe mkimbiza mwenge wa lumumba acha ukilaza wako wewe,,, huyo sio mkuu wa kaya ya dar es salaam yeye ni mke wa mkuu wa kaya kama ulivyo sema ndio maana siku hizi tumbo lake limekuwa kubwa,, tutarajie kakilaza kama wewe kuzaliwa,,, unajua nyie watoto mliopatikana kwenye mikesha ya mwenge ndio tatizo lenu hapo linakuja
Sasa unachokisema ni matusi na pengine kwa sababu tu ya wivu wa Makonda kuwa RC huku wewe ukiswaga lami na yeboyebo. Siyo mimi niliyemkataza baba yako asikupeleke shule. Mlaumu baba yako.
 
wewe mkimbiza mwenge wa lumumba acha ukilaza wako wewe,,, huyo sio mkuu wa kaya ya dar es salaam yeye ni mke wa mkuu wa kaya kama ulivyo sema ndio maana siku hizi tumbo lake limekuwa kubwa,, tutarajie kakilaza kama wewe kuzaliwa,,, unajua nyie watoto mliopatikana kwenye mikesha ya mwenge ndio tatizo lenu hapo linakuja

Mnashusha hazi ya huku jf jamani. maswali mengine ulizaneni huko huko, hivi mfano, niko hapa arusha, meya anaweza kwenda kusimamia mambo yanayotokea wilaya ya karatu, au ngorongoro, uijibu hilo swali utajua kati ya mkuu wa mkoa na meya nani yuko juu
 
Mnashusha hazi ya huku jf jamani. maswali mengine ulizaneni huko huko, hivi mfano, niko hapa arusha, meya anaweza kwenda kusimamia mambo yanayotokea wilaya ya karatu, au ngorongoro, uijibu hilo swali utajua kati ya mkuu wa mkoa na meya nani yuko juu
Umesahau kuwa haya ni Man.y.u.mB?
 
Sasa unachokisema ni matusi na pengine kwa sababu tu ya wivu wa Makonda kuwa RC huku wewe ukiswaga lami na yeboyebo. Siyo mimi niliyemkataza baba yako asikupeleke shule. Mlaumu baba yako.
duh sasa mimi na wewe nani wa kumlaumu baba yake? kwanza utoke kukaa kwa wazazi wako tafuta maisha yako ndio uje hapa kubishana na watu wazima,, bado unanyonya kwa wazazi unaleta mabishano na baba yako wa kambo? kuwa na adabu wewe kilaza wa lumumba
 
  • Thanks
Reactions: BAK
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom