Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Mdogo wangu Isaya Mwita,
Tambua kuwa demokrasia ya baraza la madiwani ni kwenye kikao na Wingi was madiwani,mahakama hazitakusaidia utaishia kupata msongo wa mawazo.
Huwezi kuzuia mchakato wa wakilishi wa wananchi walio wengi kuzuia mchakato wa demokrasia.
Nimalize kwa kusema wengi wape,wachache wasikilizwe.
Pia soma. Meya wa Dar es salaam Isaya Mwita asubiri masaa tu kuondolewa kwenye nafasi yake
Huwezi kuzuia mchakato wa wakilishi wa wananchi walio wengi kuzuia mchakato wa demokrasia.
Nimalize kwa kusema wengi wape,wachache wasikilizwe.
Pia soma. Meya wa Dar es salaam Isaya Mwita asubiri masaa tu kuondolewa kwenye nafasi yake