Hivi kuna dalili nyingine zaidi ya hizi kwamba CCM inafikia mwisho wake?
Meya wa manispaa ya Tabora amewalazimisha vijana wa bodaboda kuweka bendera ya CCM katika kijiwe chao (Kitete Hospital) baada ya kukuta vijana hao wameweka bendera ya CHADEMA
Hujamalizia mkuu, vijana walikubali au walikataa? Nini muafaka uliofikiwa?