Meya Manispaa ya Tabora alazimisha vijana wa bodaboda kuweka bendera ya CCM

JBK

Member
Aug 17, 2012
68
13
Meya wa manispaa ya Tabora amewalazimisha vijana wa bodaboda kuweka bendera ya CCM katika kijiwe chao (Kitete Hospital) baada ya kukuta vijana hao wameweka bendera ya CHADEMA
 
Meya wa manispaa ya Tabora amewalazimisha vijana wa bodaboda kuweka bendera ya CCM katika kijiwe chao (Kitete Hospital) baada ya kukuta vijana hao wameweka bendera ya CHADEMA

Hao vijana wa Bodaboda wamekubali au wamekataa kupeperusha bendera ya CCM????
 
inachekesha na kutia huruma..CCM hawajui shida nini ndio maana wanashindwa elewa ni kwanini vitu haviendi na wao bado wanakuwa watu wa mwisho kufunga mlango wa jumba la mizimu la CCM
 
Hujamalizia mkuu, vijana walikubali au walikataa? Nini muafaka uliofikiwa?

baada ya hapo kwani aliwaambia wasipoweka bendera hiyo atawaondoa(kuzuia kuweka kijiwe chao hapo) ikabidi vijana waweke bendera zote kwa shingo upande
 
Back
Top Bottom