Mcheza Viduku
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 1,049
- 2,535
Huyu Meya mbona ana mawazo ya kishirikina sana, ina maana akili zake ndio zimeishia kuwaza hapo hapo tu
Kilaza kabisa huyowameshaambiwa kila mmoja ale urefu wa kamba yake
Kama ni ivyo itafika miaka wanaume watakua hawaendeshi magari.maana swala la manual au automatic linatokana na mabadiliko ya teknolojia na kwakadri miaka inavyoenda vyombo vingi vya moto vitakua vinatengenezwa automatic.
Hata ivyo ndege na meli ni automatic sasa sijui nazenyewe zilitengenezwa hivyo ili ziendeshwe na wanawake tu au ulimaanisha nini kusema auto nizakuendesha wanawake.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Huna lolote la kuwafanya, tozo tu mmeishia kupiga kelele mitandaoni. Wabongo tushawamudu vzuri sana. Kinachotokea hapo mwenye sherehe anataadharishwa kabisa hakikisha ukimlipa mc, mpishi, hakikisha wanalipa Kodi kabisa kabla ya siku ya sherehe otherwise utakuja kulipia mwenyewe ukiingia kwenye 18 zetu tukibaini hawakulipia Kodi.Waje waone shoo itayowakuta. Bangladesh!!
Huna lolote la kuwafanya, tozo tu mmeishia kupiga kelele mitandaoni. Wabongo tushawamudu vzuri sana. Kinachotokea hapo mwenye sherehe anataadharishwa kabisa hakikisha ukimlipa mc, mpishi, hakikisha wanalipa Kodi kabisa kabla ya siku ya sherehe otherwise utakuja kulipia mwenyewe ukiingia kwenye 18 zetu tukibaini hawakulipia Kodi.
hapo kwa nyumba za wageni mstahimiki meya atoe ufafanuzi zaidi. Tozo hizo zitakuwa ni kwa wamiliki nyumba ama wageni wa nyumba hizo. Maana sio nigharimikie kumnunulia Manka wangu kitimoto, safari lager na nauli juu nimemtumia aje guest halafu mgambo wa jiji nao waje wagonge chumbani kudai tozo. Maana hapo watakuwa wanataka kutupa kesi za ubakaji, maana kitachofuata ni kuwabaka hao migambo.tutafanikiwa ikiwa wataendaji wote watapita kila kona zenye mapato kwa maharusi,Mc,wapishi na nyumba za wageni"
siifahamu.unaikumbuka KODI YA KICHWAAAA?????
Huyu jamaa ana stress kuna kesi moja ya uporaji alifanya na sabaya inanukia na takukuru wameshamchukua maelezo.Huyu Meya mbona ana mawazo ya kishirikina sana, ina maana akili zake ndio zimeishia kuwaza hapo hapo tu
Nae aunganishwe haraka kwenye huo mnyororo, jinga kabisa tutafutie wapi hela sasaHuyu jamaa ana stress kuna kesi moja ya uporaji alifanya na sabaya inanukia na takukuru wameshamchukua maelezo.