lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,593
- 5,203
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi akiwa katika kikao cha baraza la Madiwani amesema kuwa mapato mengi yanapotea kwenye harusi,Mc na wapishi wa vyakula hivyo watendaji wa halmashauri wanapaswa kupita mtaani na kumbi za sherehe ili kukusanya mapato hayo kikamilifu.
"Tumepitisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Sh.Bil 50.3 ambapo mapato ya ndani tunapaswa kukusanya Sh.Bil 8.5 tutafanikiwa ikiwa wataendaji wote watapita kila kona zenye mapato kwa maharusi,Mc,wapishi na nyumba za wageni" Meya Moshi.View attachment 2085235View attachment 2085237
View attachment 2085236
"Tumepitisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Sh.Bil 50.3 ambapo mapato ya ndani tunapaswa kukusanya Sh.Bil 8.5 tutafanikiwa ikiwa wataendaji wote watapita kila kona zenye mapato kwa maharusi,Mc,wapishi na nyumba za wageni" Meya Moshi.View attachment 2085235View attachment 2085237