johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,903
- 141,849
Meya wa Jiji la DSM Kumbilamoto amesema Soko la Kariakoo liko Halmashauri ya Jiji la DSM lakini mapato yake hajui yanakwenda wapi kwa sababu wao hawalisimamii moja kwa moja.
Meya amesema kuna bodi ya Soko ndio inahusika na makusanyo ya mapato.
Source: Star tv Medani za Siasa
Meya amesema kuna bodi ya Soko ndio inahusika na makusanyo ya mapato.
Source: Star tv Medani za Siasa