Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 263
Mstahiki Meya wa JIJI LA MWANZA Leonard Bihondo na diwani wa CCM kata ya Isamilo kwa tiketi ya CCM, amekamatwa na jeshi la polisi jana jioni Uwanja wa Ndege wa Mwanza wakati akitokea Dar es salaam. Kukamatwa kwakwe kunatokana na kudaiwa kuhusika na mauaji ya Katibu wa CCM kata ya Isamilo ambaye aliuawa kwa kuchomwa na kisi ofisini kwake Mei 14 mwaka huu majira ya saa 6:30 mchana kweupe.
Bihondo akiwa amevali mavazi yake ya umeya.
Katibu wa CCM kata ya Isamilo ambaye ameuawa kwa kuchomwa na kisu ofini kwake.
Bihondo akiwa amevali mavazi yake ya umeya.
Katibu wa CCM kata ya Isamilo ambaye ameuawa kwa kuchomwa na kisu ofini kwake.