Najiuliza huyu meya toka aingie madarakani amefanya nn cha maana toka aingie madarakani? maana nikipita mitaa ya ilala, kariakoo & posta sioni jipya barabara zimezid kuwa za ovyo, hakuna huduma ya vyoo vya umma &maghorofa yanajengwa bila utaratibu (hakuna parking) so inazidisha msongamano mjini. hivi huoni aibu Mstahiki Meya?