Meya,Gambo na Mkurugenzi jiji la Arusha kesho hapatoshi uzinduzi Wa hospital ya Wilaya.

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
749
1,797
Meya Wa jiji la Arusha,Kalist Lazaro anatarajia kumkaribisha Mkuu Wa mkoa Wa Arusha Mrisho Gambo katika uzinduzi Wa hospital mpya ya wilaya inayojengwa katika eneo la Njiro,nje kidogo ya jiji la Arusha.

Meya amedai kuwa hospital hiyo itakuwa ya mfano na fundisho kwa viongozi wasiopenda maendeleo yanayotokana na uongozi wake na kwamba amemwalika Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kuja kuweka jiwe la msingi pekee ili waendelee na shughuli ya ujenzi utakaogharibu zaidi ya sh,milioni 500 ,fedha za ndani ya halmashauri hiyo.


5c12b80a1f25f0a8eec891c327ab4426.jpg
 
Gambo huanda akaleta varangati la kufa mtu ili yeye tu awe ndio mkaribishaji. Huyu jamaa pamoja na bosi wake huwa hawapendi kabisa maendeleo kupatikana sababu ya juhudi za upande wa pili kisiasa
 
Kwanini asimualike mkurugenzi wake tu au waziri wa afya! Wanapenda vijikiki Kama chura bana.
 
Hayo maneno yake mengiiii kutafuta kiki kama vile wilaya yake milele. akubali tu
Kusema anaitikia wito wa

Hapa kazi tu
 
Mkuu wa Mkoa ndio kila kitu Mkoani
Sio kweli na haipaswi kuwa hivyo. Halmashauri ni taasisi inayojitegemea. RC hapaswi kukiuka kanuni za TAMISEMI ila kwa ajili ya ubabe hilo linafanyika hasa kwa halmashauri zisizoongozwa na chama tawala
 
Kumbe jiwe la msingi? Kwa miaka mitano? Wana Arusha Kazi mnayo!
 
Back
Top Bottom