msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
Tafsiri ya kuingia na silaha za moto ndani ni nini?
Kwamba ikitokea fujo za maneno na ngumi hao askari watatumia bunduki zao kutuliza ghasia, kwamba watawapiga wajumbe kwa risasi au wanamaanisha nini?
Kama sio mantiki hiyo kwanini waingie na silaha za moto kama hazitatumika kwa vyovyote??
Basi ipo siku mtajua umuhimu wa amani
Kwamba ikitokea fujo za maneno na ngumi hao askari watatumia bunduki zao kutuliza ghasia, kwamba watawapiga wajumbe kwa risasi au wanamaanisha nini?
Kama sio mantiki hiyo kwanini waingie na silaha za moto kama hazitatumika kwa vyovyote??
Basi ipo siku mtajua umuhimu wa amani