Hiyo itakuwa iko vizuriWanalijua hilo wengi hawaweki wanapokaa maana wanajua mda wowote wanaweza kuja salimiwa.
Hana uchungu wala huruma kwa watanzania..,inawezekana kweli huyu jamaa sio MtanzaniaNdio ubaya wa nchi kuongozwa na kiongozi asiyekuwa raia wa nchi
Kila taifa lina mapito yake, hata kama siyo lazima tuuane kama wao, lakini kuna aina fulani ya mapito ambayo hatuna budi kupitia. Na siku zote mapito yawe ni ya aina yoyote ile, huwa siyo jambo la kufurahisha au la kupendwa na wale wanaopitia mapito hayo.
Kwa kifupi ni kwamba watu wasione nchi zingine zina sheria bora wakafikiri nchi hizo zilitunga tu hizo sheria bila kupitia kwanza vikwazo vilivyopelekea kutungwa kwa sheria hizo. Nchi kama Ufaransa, wameuana sana kufika hapo walipofika. Nchi kama USA wamekiuka sana haki za maelfu kama siyo mamilioni ya raia wake kufikia hapo walipofikia leo. Hakunaga short-cut, ni lazima nchi ipitie kipindi kigumu ili kwenda kwenye kipindi kizuri.
Ukisema Basi la Yanga SC limepakia Bangi / Bange hivi hapo ' Kimantiki ' tu hujaihusisha moja kwa moja Klabu ya Yanga kwa hilo tatizo? Kweli sasa nimeamini kwenda Shule na Vyuoni sana hakumaanishi kuwa ni Kuelimika hasa Kitaaluma. Kazi ipo hakyanani!
Sijui umiandika uchafu ganiNimekuwa nikifuatilia Mambo kwa umakini mkubwa kwenye mitandao na maeneo husika...
Mmmh
Kna jambo baya sana
IlabJacob...analifahamu kuwa hata hao watu wanamfahamu na anajua kosa lake
Amachokifanya ni kutafuta Media Suport...
Time will tell hii sio ya kusingiziwa
Hata mbele za mumba Huko akienda kwa wakati wake atasema ukweli.
Asipende kutafuta huruma ya Wananchi mbele ya Anachokijua anakifanya na anawajua anaofanaya nao.
Mlikosea wenyewe kuanza kumprovek nyoka Pangoni...tena Black mamba.
Jiwe
Malaika
Dereva wa lr
Mbinu yenu mliyoitumia ni ya kitoto...
Mnawaamini sana watu wanajifanya kuwa upande wenu...
Yani poleni