haya kama kuna jinamizi linakuja ni hilo kwani meya lyimo hatki kujiuzulu mbona naibu wake kajiuzulu na hakuna matata na mbona diwani wa c.cm alikuja kwenye mkutano wa cdm na alipokewa kwa nini chitanda anakua na roho ngumu kwa namna moja nakuombeni sana mumshauri kwani hata kuongoza kwake itakua ngumu sana:disapointed: