Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,550
Maxence Melo Mkurugenzi wa JamiiForums na Mwanzilishi mwenza akiwa kwenye Interview CloudsTzv amesema:
"Mabilionea wanaokuja sasa hivi Tanzania watatokea kwenye teknolojia, hivyo Serikali iweke mazingira wezeshi"
Je, huu msemo unaendana na wakati? ''Kama munaitaka mali mutaipata shambani''
Una nini cha kuchangia?
"Mabilionea wanaokuja sasa hivi Tanzania watatokea kwenye teknolojia, hivyo Serikali iweke mazingira wezeshi"
Je, huu msemo unaendana na wakati? ''Kama munaitaka mali mutaipata shambani''
Una nini cha kuchangia?