nasnay
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 599
- 911
Huu mfano wa kiume haswa!
Huu mfano wa kiume haswa!
kula tano king eyes
mmerudi kwa pamoja kabisaJamani
OFFICIALLY !!!!! VERY GOOOOD sasa hatutahitaji kupanda ndege tutapanda tu treni ya tazara kwenda china.Kuna ile mikataba iliyosaniwa 2015 kabla ya uchaguzi soon nasi tutakuwa jimbo lingine la ChinaKuna chama kilihongwa jengo... Mchina hafanyagi kazi ya hasara hata siku mojaView attachment 860235
Ndio uchawi wenyewe huo walahi!Buhahhahaha
Hizo Walah.....Walah
kama Dozi
Jf,kweli imekusanya watu......
Kumbe nae alipotea😁😁😁mmerudi kwa pamoja kabisa
Kwahiyo tuendelee kukopa toka China bado tunakopesheka? Mfano wako wa hofu kwenye hili sio valid.. Angalia hicho kikaragosi utaelewaTatizo sisi watu weusi tumetawaliwa na hofu sana. Kila tukifanyacho hukifanya kwa hofu, kila tujadilipo jambo hata km ni la kujenga asilimia kubwa ya mawazo huegemea kwenye kushindwa.
Hv hii hali hutokana na hofu tuu au kuna chuki na hira ndani yake? Au ndio kusema tunaombea kushindwa ili baadae tuje kujigamba kuwa tulisema watafeli (atafeli)/hafiki mbali?
Badilisha ufikiria & mtazamo wako kuwa positive. Mataifa yaliyo endelea hayakuwa na mitazamo hasi.