Methali, methali

lwampel

JF-Expert Member
Feb 28, 2011
249
55
1.Mtoto akililia wembe..ujue kakuwa. 2.Haba na haba... huleta mahaba. 3.Asiyefanya kazi...ale mavi. (Ongezea za kwako)
 
Mtaka cha uvunguni sharti ainame....je? mtaka cha kitandani sharti afanyeje?.
 
zimwi likujualo....halikuli kabisa
usipoziba ufa,,,,,mwizi atachungulia
 
kuchamba kwingi...... kuondoka na ma-v.
mlenga jiwe kundini.......hajui limpataye.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom