mcmalck
Senior Member
- May 25, 2012
- 134
- 57
Tangia nipo mdogo nilkua nafikiria uwezo wa hizi meter pale unaponunua token na kwenda kuingiza na zikaandka accepted ivi ni kwamba zinatumia network au? Na kama network iyo ni ipi mpka kijijin uko ndan ndan imekua installed na kuweza kuwasiliana na Tanesco servers kujua hii token ni batili au lah... Au kuna tech nyngne zinatumia
Any idea tafadhali
Any idea tafadhali