Ronaldo, ana washabiki kupitia club na timu yake ya taifa, Messi ana washabiki kupitia barcelona tu.
Kwa data za uhakika kutoka kwangu ni kuwa Messi anamashabiki wengi kuzidi Ronaldo ila kwa kuwa Ronaldo ni mtu wa kujibrand ndio maana anasikika sana lakin katika kukubalika Messi anakubaliwa hadi na mashabiki wa Real madrid,barca,Spain yote,America yote,70%ya Uropian na 80%Asia.Africa 65.
Sema Ronaldo anajiuza sura ila messi sio mtu wa kujiuza.Ila ukianza kufuatilia wapenda soka Messi ni levo nyingine.Ronaldo hana tofauti na akina Pirlo,Wanakubalika ila sio kiivyo
Hii ya morinho Kali mkuu
Source ya takwimu mkuu? Maana nilipita maeneo ya usukumani nikakutana na jezi za Messi za kutosha nikajua jamaa anapendwa Sana kumbe kuliko Ronaldo. Kuja mtaani kwetu hapa mjini aisee jezi za Ronaldo tu,hapo ndo nikachanganyikiwaKwa data za uhakika kutoka kwangu ni kuwa Messi anamashabiki wengi kuzidi Ronaldo ila kwa kuwa Ronaldo ni mtu wa kujibrand ndio maana anasikika sana lakin katika kukubalika Messi anakubaliwa hadi na mashabiki wa Real madrid,barca,Spain yote,America yote,70%ya Uropian na 80%Asia.Africa 65.
Sema Ronaldo anajiuza sura ila messi sio mtu wa kujiuza.Ila ukianza kufuatilia wapenda soka Messi ni levo nyingine.Ronaldo hana tofauti na akina Pirlo,Wanakubalika ila sio kiivyo
Kwa data za uhakika kutoka kwangu ni kuwa Messi anamashabiki wengi kuzidi Ronaldo ila kwa kuwa Ronaldo ni mtu wa kujibrand ndio maana anasikika sana lakin katika kukubalika Messi anakubaliwa hadi na mashabiki wa Real madrid,barca,Spain yote,America yote,70%ya Uropian na 80%Asia.Africa 65.
Sema Ronaldo anajiuza sura ila messi sio mtu wa kujiuza.Ila ukianza kufuatilia wapenda soka Messi ni levo nyingine.Ronaldo hana tofauti na akina Pirlo,Wanakubalika ila sio kiivyo
This isKwa data za uhakika kutoka kwangu ni kuwa Messi anamashabiki wengi kuzidi Ronaldo ila kwa kuwa Ronaldo ni mtu wa kujibrand ndio maana anasikika sana lakin katika kukubalika Messi anakubaliwa hadi na mashabiki wa Real madrid,barca,Spain yote,America yote,70%ya Uropian na 80%Asia.Africa 65.
Sema Ronaldo anajiuza sura ila messi sio mtu wa kujiuza.Ila ukianza kufuatilia wapenda soka Messi ni levo nyingine.Ronaldo hana tofauti na akina Pirlo,Wanakubalika ila sio kiivyo