ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
Ifike muda nadharia hizi tuzilete katika mazingira halisia
Unaposema Messi sio bora kwa kuwa amedumu katika ligi moja bila kutafuta challenge sehemu zingine
hivi ulishawahi kujiuliza ugumu wa kudumu na mwanamke mmoja? Yaani utulie tuli bila kuchepuka zaidi ya miaka 10 bila kuonyesha kutetereka katika ndoa, fikiria hili ndo uone MESSI anastahili pongezi
Pia mwanaume kuwa na michepuko mingi na kutimiza vyema majukumu yako vyema bila kuonyesha madhaifu
Hii ndiyo sababu pia ronaldo apewe heshima yake
Mwisho nimalize kwa kumpongeza KING LEO , LAPURGA a.k.a football messiah
Ni mtazamo tu
Unaposema Messi sio bora kwa kuwa amedumu katika ligi moja bila kutafuta challenge sehemu zingine
hivi ulishawahi kujiuliza ugumu wa kudumu na mwanamke mmoja? Yaani utulie tuli bila kuchepuka zaidi ya miaka 10 bila kuonyesha kutetereka katika ndoa, fikiria hili ndo uone MESSI anastahili pongezi
Pia mwanaume kuwa na michepuko mingi na kutimiza vyema majukumu yako vyema bila kuonyesha madhaifu
Hii ndiyo sababu pia ronaldo apewe heshima yake
Mwisho nimalize kwa kumpongeza KING LEO , LAPURGA a.k.a football messiah
Ni mtazamo tu