ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Sijui kama ni mimi tu naliona hili au vipi.
Kitendo cha Messi kuondoka katika Ligi ya Uhispania kulikotokana na Klabu kubanwa sana na sheria yao La liga ya matumizi ya pesa ligi ya nchi hiyo na ule ushabiki na hamasa fulani imepungua sana huko uhispania na hata ulaya yote
Unakuja kuona Fc Barcelona yenye Messi ilikua inaleta changamoto kubwa sana katika soka la ulaya.
Leo hii hata ile uefa champions league yenye raha na msisimko tuliyozoeaga haipo tena.
Na kwa hili pia hata akina Cr7 na Ramos nao kuihama Real madrid si tu kuwa kumepunguza radha ya la liga bali hili limeathiri ulaya nzima.
Dunia sasa ni kama hakuna mchezaji ambaye anakushawishi uwe na hamu ya kufuatilia hasa michuano au mechi nzuri za ulaya kama tulivyozoea ndani ya miaka kumi iliyopita
Kama kuna kosa kubwa wanalopaswa kulaumiwa bodi ya ligi ya hispania La liga ni ile sheria yao mbovu ya kuvuka matumizi makubwa ya pesa,ukweli wameondoa mvuto/raha ya soka la Ulaya.
Kitendo cha Messi kuondoka katika Ligi ya Uhispania kulikotokana na Klabu kubanwa sana na sheria yao La liga ya matumizi ya pesa ligi ya nchi hiyo na ule ushabiki na hamasa fulani imepungua sana huko uhispania na hata ulaya yote
Unakuja kuona Fc Barcelona yenye Messi ilikua inaleta changamoto kubwa sana katika soka la ulaya.
Leo hii hata ile uefa champions league yenye raha na msisimko tuliyozoeaga haipo tena.
Na kwa hili pia hata akina Cr7 na Ramos nao kuihama Real madrid si tu kuwa kumepunguza radha ya la liga bali hili limeathiri ulaya nzima.
Dunia sasa ni kama hakuna mchezaji ambaye anakushawishi uwe na hamu ya kufuatilia hasa michuano au mechi nzuri za ulaya kama tulivyozoea ndani ya miaka kumi iliyopita
Kama kuna kosa kubwa wanalopaswa kulaumiwa bodi ya ligi ya hispania La liga ni ile sheria yao mbovu ya kuvuka matumizi makubwa ya pesa,ukweli wameondoa mvuto/raha ya soka la Ulaya.