Uhuru wetu ulikuwa mikononi mwao, but not today. Walikuwa na mandate ya UNO kuwa protector wetu, so we had to go through that channel.Huna habari hata uhuru wetu tulienda kuuomba uingereza kwa mnaowaita mabeberu.
Lakini leo hatuna haja ya kufanya hivyo, bali weakness yetu na sheria zetu mbovu.
Sent using Jamii Forums mobile app