Nimekuwa nikipata usumbufu hasa kwenye mitandao ya tigo na voda wakati mwingine inachukua masaa sms kuwa delivered kwa muhusika, kwa yeyote anaejua tatizo hasa ni nn
Sasa tukiwa kama walaji tunafanyaje kwa kupatiwa huduma chini ya kiwango?
Nimekuwa nikipata usumbufu hasa kwenye mitandao ya tigo na voda wakati mwingine inachukua masaa sms kuwa delivered kwa muhusika, kwa yeyote anaejua tatizo hasa ni nn
Nimekuwa nikipata usumbufu hasa kwenye mitandao ya tigo na voda wakati mwingine inachukua masaa sms kuwa delivered kwa muhusika, kwa yeyote anaejua tatizo hasa ni nn
Suluhisho;
Kama mtu anekutumia message anatumia line ya tigo mwambie atumie tigo yako, nawe hvohvo kama unaemtumia message ana line ya tigo, tumia hiyo