Meseji Muhimu kuhu Makonda ambayo ilichukuliwa kirahisi japo Rais akaielewa

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
16,266
33,880
Hii ilikuwa ni message kubwa sana, ila hadi leo imechukuliwa kirahisi. JPM aliielewa vizuri ndiyo maana akamwambie akachukue form ya ubunge, halafu akammwaga mazima, huku Ole Sendeka, Mrisho Gambo na Pastory Katambi wakipeta tena kwa mbeleko ya refa

e7e08c25-c75a-4dc5-b783-147b22c69caf.jpeg
 
Hii ilikuwa ni message kubwa sana, ila hadi leo imechukuliwa kirahisi. JPM aliielewa vizuri ndiyo maana akamwambie akachukue form ya ubunge, halafu akammwaga mazima, huku Ole Sendeka, Mrisho Gambo na Pastory Katambi wakipeta tena kwa mbeleko ya refa

View attachment 3145167
Chura kiziwi ndiyo kwanza anamkumbatia na kuwatolea maneno ya kifedhuli nchi wahisani kwa concern yao juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu.
 
Hii ilikuwa ni message kubwa sana, ila hadi leo imechukuliwa kirahisi. JPM aliielewa vizuri ndiyo maana akamwambie akachukue form ya ubunge, halafu akammwaga mazima, huku Ole Sendeka, Mrisho Gambo na Pastory Katambi wakipeta tena kwa mbeleko ya refa

View attachment 3145167
pompeo amekaa muda mrefu bila ajira dah, maisha bana 🐒
 
Hii ilikuwa ni message kubwa sana, ila hadi leo imechukuliwa kirahisi. JPM aliielewa vizuri ndiyo maana akamwambie akachukue form ya ubunge, halafu akammwaga mazima, huku Ole Sendeka, Mrisho Gambo na Pastory Katambi wakipeta tena kwa mbeleko ya refa

View attachment 3145167
Lakini pamoja na yote hayo kato aliliwa kichwa!

Sasa chura anapomkumbatia mtajwa nae atanywewa supu!!?
 
Labda konda ni waziri wa mambo ya ndani ajaye Ili kusafisha njia ya mama kupita sio!!?

Kazi iendelee!!
 
Back
Top Bottom