bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Wazee wa mila wakisema hayo katika sherehe zao za jadi Vijana wasiofanya kazi,Walevi,wagomvi watakutana na adhabu ya viboko 70 na alienda mbali zaidi na kusema kama kijana hana afya nzuri atakopeshwa idadi ya viboko vyake mpaka amalize dozi yake.
Kukopeshwa akimaanisha wiki hii unaweza kula viboko vitano wiki ijayo vitano tena mpaka idadi itimie ila kama una ufya yako unapokea 70 vyote kwa mpigo lengo kubwa haswa ni kumuunga rais na sera yake ya hapa kazi tu na kuhakikisha jamii inaishi kwa Amani.
Source ITV news
Unaonaje kama adhabu hii ingekua sheria ya nchi na kutumika kila sehemu?
Kukopeshwa akimaanisha wiki hii unaweza kula viboko vitano wiki ijayo vitano tena mpaka idadi itimie ila kama una ufya yako unapokea 70 vyote kwa mpigo lengo kubwa haswa ni kumuunga rais na sera yake ya hapa kazi tu na kuhakikisha jamii inaishi kwa Amani.
Source ITV news
Unaonaje kama adhabu hii ingekua sheria ya nchi na kutumika kila sehemu?