Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Unayosema ni kweli kabisa!!!!! Wengi ni matajiri na hatujui walipata wapi mali hawa. Kila walichonacho ni siri kwa sababu ndivyo mwana usalama Pinda alivyosema.Una assume kwamba Usalama wa Taifa wao sio mafisadi.
Ukiangalia viongozi wa juu wa Usalama, hususana waliotoka kustaafu (hawa wa sasa hivi sifahamu kwa sana) wanavyo ishi na mali waliyojilimbikizia, sidhani kama mishahara yao ingetosha kufanya mavitu yao.
Tusi assume kwamba ukiwapa wao ulinzi wa mali ya Umma basi itakuwa poa.
Hata Plato ali spin alipoulizwa "nani atalinda walinzi"?