Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,251
- 8,456
Kwa Uchache: Ya Meremeta, Tangold, JWTZ na Signatories
Waziri akizima hoja ya Slaa kuhusu Ukaguzi wa Meremeta/Tangold alisema haiwezi kujadiliwa hadharani kwa kuwa inahusu mambo nyeti ya usalama wa Taifa na Jeshi la Wananchi Tanzania - JWTZ.
Ilishadhihirika kuwa Meremeta ilirithisha shughuli zake kwa Tangold, na kwamba Serikali kupitia BOT iliilipia deni kubwa kupitia benki ya SA zaidi ya TZS 155 bn. Tangold ikachukua kazi za Meremeta.
Kwa maana hiyo Tangold ni mali ya usalama wa Taifa kupitia JWTZ. Na kwa maana hiyo pia CHENGE mtia saini mkuu wa akaunti za Tangold ndiye Signatories wa JWTZ.
Ni akaunti ngapi za JWTZ ambazo Chenge na wenzake ni lazima waanguke sahihi zao ndio hela zitoke.
Kwa nini jeshi la nchi yetu linadhalilishwa katika wizi huu limekaa kimya, linatakiwa kuja na kutoa ufafanuzi ikibidi kuichukulia hatua za kinidhamu Serikali.
Leteni michango yenu kwa ufupi
Waziri akizima hoja ya Slaa kuhusu Ukaguzi wa Meremeta/Tangold alisema haiwezi kujadiliwa hadharani kwa kuwa inahusu mambo nyeti ya usalama wa Taifa na Jeshi la Wananchi Tanzania - JWTZ.
Ilishadhihirika kuwa Meremeta ilirithisha shughuli zake kwa Tangold, na kwamba Serikali kupitia BOT iliilipia deni kubwa kupitia benki ya SA zaidi ya TZS 155 bn. Tangold ikachukua kazi za Meremeta.
Kwa maana hiyo Tangold ni mali ya usalama wa Taifa kupitia JWTZ. Na kwa maana hiyo pia CHENGE mtia saini mkuu wa akaunti za Tangold ndiye Signatories wa JWTZ.
Ni akaunti ngapi za JWTZ ambazo Chenge na wenzake ni lazima waanguke sahihi zao ndio hela zitoke.
Kwa nini jeshi la nchi yetu linadhalilishwa katika wizi huu limekaa kimya, linatakiwa kuja na kutoa ufafanuzi ikibidi kuichukulia hatua za kinidhamu Serikali.
Leteni michango yenu kwa ufupi