Kitoto Akisa
Member
- Apr 23, 2009
- 53
- 5
Nani alisema misemo ya wahenga huanguka! Si imesemwa " Ukweli hata ukiuzika chini kiasi gani, bado utatafuta njia ya kuibuka" (No matter how deep you bury the truth, it will always manage to surface), sasa ndio wakati wa ukweli kuibuka, hongera mzee mwanakijiji na Jopo zima la Cheche za Kifikra!