tatizo nguvu nyingi akili sifuri,katika matahira na wajinga kuwahi kutokea Ni huyu mpumbavu tuliyenae
ushamba tu na kununua ndege saba ambazo zimepack tu hazimsaidii chochote mtanzania wa kati na wa chini,emirates wenyewe wanapata hasara,haya mtuambie hizo ndege zimeanza kufanya international flights???
Huuu wimbo wa kodi si kila siku wanauimba kwani bado hawajui tuu
Aiseee !!!Hakuna ukuta mbele ya pesa. Mule ndani kuna taarifa za uwepo wa geto la mzee wa jirani pool k game, uzio ulizungushwa kwa usalama wake na ndio maana walinzi wa ukuta ni wake, madini yote yanahamishiwa hapo jirani maana akili ya huyu jirani kuipimia na ya jiwe ni scania kwa guta.
Mimi nitaenda nijue kuwa kweli walinzi ni wanyaruHakuna ukuta mbele ya pesa. Mule ndani kuna taarifa za uwepo wa geto la mzee wa jirani pool k game, uzio ulizungushwa kwa usalama wake na ndio maana walinzi wa ukuta ni wake, madini yote yanahamishiwa hapo jirani maana akili ya huyu jirani kuipimia na ya jiwe ni scania kwa guta.
since wanaanza huo ujenzi tulishasema hapa, madini sio maharage ili yalindwe na Ukuta.Merelani ukuta umejengwa na unalindwa na jeshi letu imala kabisa sasa kila kukicha madini yanakamatwa nnje ya ukuta tatizo lipo wapi? Wanajeshi wanahusika katika hilo au wachimbaji wanawazindi uwezo wa kutolosha madini yetu?
Ndiyo MaCCM lia-lia mjibu hilo swali upesi sana.Swali zuri.
Ww unayo akili hata ya kupeleka mtoto shule fala wwtatizo nguvu nyingi akili sifuri,katika matahira na wajinga kuwahi kutokea Ni huyu mpumbavu tuliyenae
ushamba tu na kununua ndege saba ambazo zimepack tu hazimsaidii chochote mtanzania wa kati na wa chini,emirates wenyewe wanapata hasara,haya mtuambie hizo ndege zimeanza kufanya international flights???
Ndiyo MaCCM lia-lia mjibu hilo swali upesi sana.
kadi ipi ?Kwanza nitumie humu kadi yako niende kuitumia kuwauliza