Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Ni very intresting hasa kwa electeonics na macanics ila kwenye swala la Computer kizidi akiri ya binadamu hizo ni chai mkuu. Kuna kitu kinaitwa Gabage in Gabage out, computer haitaweza kifanya kaz ambayo haijaelekezwa na mwanadamu, hata maana y neno machine itakua haina maana. Huyo jamaa alilose ile game kwakuwa vilikaa vichwa vingi tuibrogram computer kuhakikisha inashinda, so yule mwanamichezo alikua anaahindana na akiri nyingi za programers lkn co kweli km computer kuzid mwanadamu. Kwa uwelewa wako mdogo kwenye technology kunakufanya uone mambo hayo ni ya ajabu sana lkn maprograma km akina Mark au Gates hata yachukulia km tunavyoyachukulia sisi. 3rd world countries tuna akiri ndogo huwez linganisha na wenzetu, ss ukisema computer imzidi mtu akiri ni mtu yupi unaemsema? Mzungu? Vyote tutumiavyo ni machinery ambazo mwanadam anatengeneza kwa akiri yake ili kumsaidia kufanya kaz
Mkuu nashangaa mnamshambulia ONTARIO kwa kusema hivi labda kwa sababu ni mwamfrica mwenzetu, lakini hili jambo linasemwa mara nyingi sana na Steven Hawking na bado anaendelea kuliamini hata leo ukimuuliza bado atalisema. (bado utaniuliza stephen hawking ni nani). Japokuwa sio kwamba nakubaliana nae ila ukiona mtaalamu kama hawking anasema kitu lazima ukifikirie mara mbili mbili.
 
Sijajua profession yako lkn kwa computer sientist atakukatalia, nisawa useme Gari au ndege itaenda ambako mwanadamu hakujui. Hvyo ni vitendea kaz tu, i mean vinakisaidia kwenye quantity, speed, aquracy, mamory nk. Comp haiwez fanya kitu ambacho mwanadamu hakijui. Comp inakua instructed ndo maana kuna coding. Fb, jf, inster, windows, calculater, games, robot nk ni kaz za watu sema uwezo wetu ktk tcholojia ni mdogo ndo maana tunaishia tunashangaa hata huyo Mark wa facebook nialikuwa student tu wakati anafanya hzo project zake, kunawaofanya mambo makubwa huyo mark anaonekana fala, huko china, urusi kuna mambo ya miujiza watu wa akiri aisee, cc tunaishia kupost tu hapa jf
Mkuu nashangaa mnamshambulia ONTARIO kwa kusema hivi labda kwa sababu ni mwamfrica mwenzetu, lakini hili jambo linasemwa mara nyingi sana na Steven Hawking na bado anaendelea kuliamini hata leo ukimuuliza bado atalisema. (bado utaniuliza stephen hawking ni nani). Japokuwa sio kwamba nakubaliana nae ila ukiona mtaalamu kama hawking anasema kitu lazima ukifikirie mara mbili mbili.
 
Hii hata mimi kila nikijaribu "kulisukumizia" kwenye ubongo wangu linakataa kabisa,sasa kama nyumba inakuwa printed inamaana hilo printer lenyewe lina ukubwa kiasi gani?......lakini pia kuna lile la kumfyatua binadamu kama tofali maabara,hili nalo japo ni tecknolojia ila nahisi kama "kamba" hivi ila sijui tuendelee kusubiri lakini sidhani.

Mkuu hizi nyingine kama chai hivi!
 
1. Afrika (ukiacha nchi ya Afrika Kusini) bado mno. Kama mtu ananunua gari la 2001 leo hii 2018 halafu akiliingiza nchini analiita jipya ni tatizo.
2. Siasa za Afrika hazitaruhusu hizo teknolojia kwa hofu ya wapiga kura kukosa kazi. Mambo hayo yataishia huko huko Washington.
Na ndoo maana afrika haita kaa iendelee kama ndo ivi tunasema
 
Haya vijana acheni sijui kutafuta credit sijui ukasome HKL mara sijui ualimu, dunia inazidi kutanuka.

Nendeni Veta na vyuo vya Computer Science mkachukue maujuzi ya "IT" maana ndio kozi pekee iliyobaki inayoweza kukusukuma kwa siku za mbeleni ila uwe mjanja mjanja na wa kujiongeza.

Shukrani mkuu.
Apa ukimwambia mzazai nataka kusomea ayo mambo anasema nini hicho hakina ata ajira... Sme ichi au somea kile... Sasa sjui hioo ajira anayoiona yeye sjui annaionea kwa wapi
 
Uongo mkubwa uliowahi kuongea ww bwana Ontario ni kua "Eti kuna machine ya 3D inayatumika kuprint nyumba, so baada ya miaka kama 20 watu watakua wanafyatua nyumba kwenye mashine"

-Tera La Vista
Kwani nini ambacho kinashindikana... Kama kuna 3D printers za vikombe na magari then swala la nyumba si kutengeneza 3D printer kubwa tu ? Au kutengeneza parts ndogo ndogo then znafanyiwa assembling
 
Inatia huruma sana kuona vijana wakigeuzwa misukule na mirija ya kunufaisha wengine..kwanini unawanyima vijana haki yao ya kutumia akili na nguvu zao za ujanani kutafuta mali na badala yake kuwaaminisha kuwa pesa zinapatikana kwa kuweka miguu mezani na bando la internet...hii ni DHAMBI KUBWA SANA!!

Kijana inabidi UTUBU..wenzetu wanahangaika kuzalisha tangible entrepreneurs wenye biashara zinazoekeweka huku vijana wamegeuzwa misukule na uyu dogo bila kujua..

Aisee TUBUNI iyo dhambi mapema..maana kuna misukule itazeeka inatafuta mali kwenye internet kuja kustuka uko 50's uwezi ata sukuma toroli. TUBUNI HII DHAMBI
We endelea na entrepreneurship yako watu tunapoelekea saivi ioo kitu ya kustruggle saana inakuja zngua, ushaskia kuhusu AI sasa ishue ya kutumia akili sana inakuja potea kiutani utani
 
Wadau,ikifika Wakati Wa Tuition Ya Kudownload Nyumba,mnishtue Nina Maeneo Potential Kariakoo,magomen,kinondoni,tukumbukane Jamani Kizuri Kuwa Na Wenzio
 
Narekebisha Kauli Siyo Kudownload Ni Kuprint,tuition Iwe Jangid Au South Africa Nitahudhuria Tu
 
Bukoba Boy Hujanielewa,nlivyosoma Nikagugo Na Hicho Ulichoweka Nimekiona,unafkr Tz Itafika Lini?L
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom