Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,215
- 7,381
Alidesa kwenye googleKweli siku hazidanganyi, leo mnamsifia mtu aliyepewa kila jina baya😂😂😂
Alidesa kwenye googleKweli siku hazidanganyi, leo mnamsifia mtu aliyepewa kila jina baya😂😂😂
Lkn alipondwa sana bila sababuAlidesa kwenye google
Africa bado tupo nyuma ya wakati sana.Kitu ninachokipenda zaidi kuhusu Internet ni uwezo wake wa kutunza taarifa. Huu uzi utakaa hapa hata wajukuu zetu watauona, natamani pia kungekua tunatumia real Identity zetu ili hata watoto wetu waje waone baba zao walikua na akili gani miaka ya 2018. Naomba niwe na busara ya kua na akiba ya maneno, huu uzi siku si nyingi sana tutakuja kuufukua... I rest my case, Let nature prove me wrong!!