Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Kitu ninachokipenda zaidi kuhusu Internet ni uwezo wake wa kutunza taarifa. Huu uzi utakaa hapa hata wajukuu zetu watauona, natamani pia kungekua tunatumia real Identity zetu ili hata watoto wetu waje waone baba zao walikua na akili gani miaka ya 2018. Naomba niwe na busara ya kua na akiba ya maneno, huu uzi siku si nyingi sana tutakuja kuufukua... I rest my case, Let nature prove me wrong!!
Africa bado tupo nyuma ya wakati sana.

Hadi kufikia 2030, Yote uliyoandika kwenye huu uzi yatakuwa yameanza kuonekana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom