The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,158
- 51,086
Atakuja masikini choka mbaya na comment za kujifariji "Atakufa ataliacha"
Alafu atakuja tajiri atasema ni Bora ulie ukiwa kwenye Mercedes Benz kuliko ulie ukiwa kwenye baiskeliAtakuja masikini choka mbaya na comment za kujifariji "Atakufa ataliacha"
Hata akiliacha kawaachia watoto urithi, tatizo masikini hatuwazi kuhusu geneartion inayokuja tunawaza tu si tutakufa tutaziacha, hilton hotels sasa hivi wamiliki ni kizazi karibia cha tano ila aliyehustle kashakufa kitamboAtakuja masikini choka mbaya na comment za kujifariji "Atakufa ataliacha"
Mkuu,hivi yule mrembo Paris Hilton yuko wapi siku hizi? naona amepotea kabisa kwenye media.Hata akiliacha kawaachia watoto urithi, tatizo masikini hatuwazi kuhusu geneartion inayokuja tunawaza tu si tutakufa tutaziacha, hilton hotels sasa hivi wamiliki ni kizazi karibia cha tano ila aliyehustle kashakufa kitambo
Sio kila swali lazima ujibiweMimi nakuuliza swali na wewe unauliza swali...dont waste my time. Good day.