Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Yani day wani tu, utepe unaenda kukatiwa kwenye pagala?? Serikali iingilie kati, hili swala sio la kukalia kimyaMapagala yasiyo na siafu 😂😂😂😂😂
HoteliniMfano umeoa, utamuita wapi....mfano tu.
Hivo hii men's talk is for boys....Hotelini
Niwape kisa kimoja;
Last weekend nika match na mdada moja mrembo kwenye ulevmtandao wetu pendwa wa kimataifa. Kuchat kidogo tu akatoa namba tukapanga tukutane wapi basi mimi bila kusita nikaenda.
Nimefika pale nikaanza kuagiza badi yeye akajifanya kama vile ile sehemu ni mara yake ya kwanza kufika hivyo akawa ana kufanya kushangaa bei ya vinywaji.
Baada ya mfa nikamshawishi tukapige kitu moto jirani na kwangu tulipofika niksmpa offer ya kwenda kumtengenezra dawa ya mafua nyumbani; jibu alilolitoa lili nishangaza.
Aliniuliza unajipa shilingi ngapi?
Kusema kweli sikuwa na nia ya kumla siku hiyo lakini kwa sababu amenionesha kuwa anauza ukaona isiwe tabu ngoja nikapige tu ilinhata hiyo pesa niliyotumia kwenye vinywaji niifidie kidogo; nikamwambie ataje anataka shilingi ngapi.
Hapa na pale akasema 100k na pia inatakiwa ikifika saa sita awe amerudi kwake.
Kuangalia saa ni saa nne usiku mpka tule tumalize itakuwa saa 5 nikajiuliza kweli nitoe laki kwa lisaa kimoja tu. Nikaona haiwezekani. Nikamwambie nimpe 50k Ili nikafidie na ile tuliyo kunywa. Akachomoa.
Mpaka hapo tusha kunywa 70k nikaamya nimpotezee. Badi akaomba nimuitie usafiri nikaita nikamlipia Nauli ya akasepa.
Nifupishe stori. Kesho yake akaanza kunitumia , meseji anashangaa eti kwanini sikumbembeleza; nilimpa jibu alibaki anashangaa. Sasa hivi anahamgaika tu kwenye simu.
Yani sasa hivi asilimia kubwa ya wanawake wanauza K
Nanihii kama Uko humu najua huwezi kosa jua ulichemka.
Hivo hii men's talk is for boys....
Si ulisha mwita akaja na ukaoa ?? 😂😂😂Mfano umeoa, utamuita wapi....mfano tu.
Niwape kisa kimoja;
Last weekend nika match na mdada moja mrembo kwenye ulevmtandao wetu pendwa wa kimataifa. Kuchat kidogo tu akatoa namba tukapanga tukutane wapi basi mimi bila kusita nikaenda.
Nimefika pale nikaanza kuagiza badi yeye akajifanya kama vile ile sehemu ni mara yake ya kwanza kufika hivyo akawa ana kufanya kushangaa bei ya vinywaji.
Baada ya mfa nikamshawishi tukapige kitu moto jirani na kwangu tulipofika niksmpa offer ya kwenda kumtengenezra dawa ya mafua nyumbani; jibu alilolitoa lili nishangaza.
Aliniuliza unajipa shilingi ngapi?
Kusema kweli sikuwa na nia ya kumla siku hiyo lakini kwa sababu amenionesha kuwa anauza ukaona isiwe tabu ngoja nikapige tu ilinhata hiyo pesa niliyotumia kwenye vinywaji niifidie kidogo; nikamwambie ataje anataka shilingi ngapi.
Hapa na pale akasema 100k na pia inatakiwa ikifika saa sita awe amerudi kwake.
Kuangalia saa ni saa nne usiku mpka tule tumalize itakuwa saa 5 nikajiuliza kweli nitoe laki kwa lisaa kimoja tu. Nikaona haiwezekani. Nikamwambie nimpe 50k Ili nikafidie na ile tuliyo kunywa. Akachomoa.
Mpaka hapo tusha kunywa 70k nikaamya nimpotezee. Badi akaomba nimuitie usafiri nikaita nikamlipia Nauli ya akasepa.
Nifupishe stori. Kesho yake akaanza kunitumia , meseji anashangaa eti kwanini sikumbembeleza; nilimpa jibu alibaki anashangaa. Sasa hivi anahamgaika tu kwenye simu.
Yani sasa hivi asilimia kubwa ya wanawake wanauza K
Nanihii kama Uko humu najua huwezi kosa jua ulich
Ukitaka kumuita mwingine?Si ulisha mwita akaja na ukaoa ?? 😂😂😂
Tumia the same mbinuUkitaka kumuita mwingine?
Halikuwa lengo languUlikosea mjuba ulianza kucheza mpira kabla ya kipyenga kupulizwa, umekula hasara hata chuchu hukugusa
Hakuna alie kulazimisha kusoma.Jamaa unaandika vibaya sijapata ona
Lodge/hotel so mambo za geto narudia tena it's boys talkTumia the same mbinu