Segito wa Kalenga
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 609
- 855
Asante sana.umemaliza yote"Haule" ni ubini maarufu wa kiukoo huko kwetu ruvuma.
prof.muhongo ni mwenyeji wa musoma.huyo babu ni wa mzaa mama yake au mzaa baba yake?
Asante sana.umemaliza yote"Haule" ni ubini maarufu wa kiukoo huko kwetu ruvuma.
prof.muhongo ni mwenyeji wa musoma.huyo babu ni wa mzaa mama yake au mzaa baba yake?
Amemaliza yote vipi wakati na yeye kauliza?Asante sana.umemaliza yote
AsanteKwani ameolewa Menina au ww?
HahahahaAnajiheshimu insta?
Kwani anaswali insta?
AmeenNdoa yao na idumu
Hata kidunchuHamuwezi wastara
Nilisikia huyu ni Mtoto wa kambo wa MheshimiwaBaba= Sospeter MUHONGO
Mtoto = Peter HAULE
Dooooh mbona sielewi
Punguza muhemko.amemaliza kuulizaAmemaliza yote vipi wakati na yeye kauliza?
Baba= Sospeter MUHONGO
Mtoto = Peter HAULE
Dooooh mbona sielewi
Dah...endelea kutafuta.hyu bwana wa zamani alikuwa mzuri kweli
napenda sana wanaume weusi hyo wa sasa sio flavour kabisa
hata hyo ndoa haitodumu
aisee nilihisi tu...bongo movie bwanaNdoa hiyo ishaota mbawa . Bwana alivyopigwa chin kwenye ile taasis ya kifedha alipokuwa anafanya kazi (baada ya taasis hiyo kufilisika)
Mimi ni mweusi kama mkaa...njoo kwangu basihyu bwana wa zamani alikuwa mzuri kweli
napenda sana wanaume weusi hyo wa sasa sio flavour kabisa
hata hyo ndoa haitodumu
Alikuwa pride Nini?Ndoa hiyo ishaota mbawa . Bwana alivyopigwa chin kwenye ile taasis ya kifedha alipokuwa anafanya kazi (baada ya taasis hiyo kufilisika)