Menina aolewa na kigogo kwa siri

kafunga kwa siri haja publish popote picha wala tangazo kama wafanyavyo mastaa wa kibongo shobo

Picha mbona zipo mitandaoni labda wewe tu hujaziona...

MENINAH-CAPT.jpg
 
Aaah Watu8 wewe mtu mzima bwana, jiongeze hapo kidogo.

Hahah...

Sikutaka kwanza kuwaza hilo unalotaka niwaze ndio maana nikauliza kwanza...

Hata Remmy Ongala alikuwa na mke bi mkubwa...
 
Last edited by a moderator:
Hahah...

Sikutaka kwanza kuwaza hilo unalotaka niwaze ndio maana nikauliza kwanza...

Hata Remmy Ongala alikuwa na mke bi mkubwa...

Hahahaaaaa
Mpaka hapo tumeshaelewana, yatosha.
Si wajua imebaki wiki moja tu? Magereza yanaongezwa ukubwa tu sasa hivi.
 
Back
Top Bottom