Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 575
kiite upendavyo lakini huwezi kutupunguzia mapenzi na udom... Nimeapply this year na ndo my first choice na ufaulu wangu upo juu ile mbaya
una four ya point ngapi vile?
kiite upendavyo lakini huwezi kutupunguzia mapenzi na udom... Nimeapply this year na ndo my first choice na ufaulu wangu upo juu ile mbaya
una four ya point ngapi vile?
Nimesoma diploma nina gpa 4.7
maisha yako yote kilaza wewe Huna lolote 4.7 upate wapi , kilaza mkubwa wewe ulikuwa division four ya 31(iv.30),ukaanza na certificate ukaunga diploma ,
maisha yako yote kilaza wewe Huna lolote 4.7 upate wapi , kilaza mkubwa wewe ulikuwa division four ya 31(iv.30),ukaanza na certificate ukaunga diploma ,
Punguzeni sauti jamani khaa
You are wrong, private sector tunaangalia uwezo wa mtu wa kufanya kazi. Referal, koo, dini, sex hayo hayana nafasi kinachoangaliwa ni tija tuu
udsm,Chuo cha masharobaro na masista du.
si huyo bata mzinga! Ana madharau utafikiri ye ndo wa kwanza kusoma chuo kikuu dunia nzima.
Huu ni ulimbukeni tu kusifia na kubeza chuo alichosoma mwenzako. Mwisho wa siku hakuna atakaeuliza umesoma wapi, bali atauliza unajua/unaweza nini. Siku hizi sehemu nyingine hata mavyeti (Na GPA zake) ni vitu vya mwisho. Acheni kukumbatia ujinga wa kusifia wakwe badala ya mke.
udom chuo cha watu gn?
Si huyo bata mzinga! Ana madharau utafikiri ye ndo wa kwanza kusoma chuo kikuu dunia nzima.
Nimesoma diploma nina gpa 4.7
LAZMA UKUBALI DADAYANGU KWAMBA UNA Historia mbayaaa
.............
Kumbe una diploma.......equivalent qualifications.... hahaha
wewe pimbi hebu tulia kilaza wewe umeshindwa hata kupata iii.25 ukaenda advance ,kilaza mkubwa wewe huoni hata aibu unasema kabisa nimesoma diploma,
usilolijua ni kama usiku wa giza...
hahaha dadaangu kubali wewe ni kilaza sugu