Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Kuna mjumbe mmoja mpya wa kamati ya bunge ambayo zamani ilikuwa ujenzi, na sasa ni Miundombinu, anasema kuwa huko kuna ushahidi wa kutosha kuwafunga maisha mzee Mkapa pamoja na Magufuli, kwa hiyo pole pole utaona vitu vinatolewa mapaka atoke!
Mkulu FMES,
Mzee Mkapa alikukosea nini?kila muda lazima umuandike??au ndiyo hasira za Mzee Butiku na wewe zimekutawala?