Reginald Mengi Lawyers respond (video), goes to Court; sues Rostam Aziz

Mheshimiwa, helewa kakopa na karudisha,kama anadaiwa asingeshinda kesi Mahakama kuu..jamani tuelewe hizi ishu vizuri, Mengi amekua cleared na Mahakama Kuu ya Tanzania
 
hehehehe dah.
ninachowahurumia wanaoshabikia porojo za RA ni kwamba wanajitenga wenyewe kutoka ktk ngano safi kwani Mengi hawezi kuja ktk kadamnasi aongelee kitu ambacho hana ushaidi wake, na alichosema Mengi ni makini kwani hata ushahidi wa kimazingira unamtoa knock-out RA. Ila kama tujuavyo kwamba ana wanasiasa uchwara anaowalipa ili kumtetea upuuzi wake. na Tumeshawabaini na watatajwa mbele ya jamii ili ijulikane kuna kenge wangapi kwenye msafara wa mamba.
ama kweli mtego wa panya....
 
Mengi hits back, tells Rostam to come clean

THISDAY REPORTER

Dar es Salaam

IPP Limited Executive Chairman Reginald Mengi yesterday challenged the Igunga Member of Parliament, Rostam Aziz, to come clean and publicly disclose the number of legitimate businesses that he currently owns.

At a news conference in Dar es Salaam yesterday, lawyers representing Mengi challenged Rostam to respond to widespread allegations that he has interests in at least three companies implicated in massive corruption scandals in the country - Dowans Holdings Limited, Richmond Development Company, and Kagoda Agriculture Trading Company Limited.

’’Let Mr Aziz tell the public in what capacity he was following up on payments for the companies from various banks in the country,’’ IPP Ltd Company Secretary and corporate counsel Agapitus Nguma queried before the packed-to-capacity news conference.

He said apart from disclosing what type of business(es) he is involved in within the country, the Igunga legislator should also make clear in which companies he is legally recognized as a bona fide director by the Business Registration and Licensing Agency (BRELA).

Armed with a loaded briefcase of documentary evidence, Nguma and private advocate Michael Ngalo also sought to dismiss various allegations made by Rostam against the IPP Ltd chief over the weekend.

They described Rostam’s media statement on Sunday as being baseless with no grain of truth, and went on to produce documents to counter each of Rostam’s allegations against Mengi.

Said Ngalo: ’’Honourable Rostam Aziz’s statement was full of personal attacks, which also targeted companies to which Mengi is shareholder. In his statement, Rostam failed to respond to the numerous allegations of graft being levelled against himself.’’

Dealing with the allegations made by the Igunga MP blow-by-blow, Ngalo produced documents to show that Independent Television Limited, Body-Care Limited, Bonite Bottlers Limited, and Anche Mwendu Limited had all repaid their Commodity Import Support (CIS) debts by last year.

’’Neither Reginald Mengi nor any of the companies which he owns have an outstanding CIS debt. All CIS debts have been repaid,’’ Ngalo declared.

According to the documentary evidence availed by the legal counsel, Bonite Bottlers was allocated a 160m/- CIS loan in 1991/92, but utilized only 159.7m/- and repaid over 396.5m/- between October 16, 1992 and April 15, 1994. Several cheques were paid in between the two.

As for ITV and Body-Care, documentary evidence shows that the two companies had an outstanding CIS debt of 852,554,975/- by February last year, which was settled through cheque number 166599202400 issued by IPP Limited from its Standard Chartered Bank account.

A letter to the Ministry of Finance, dated February 6 last year and signed by Nguma on behalf of Mengi, reads in its final paragraph: ’’Please confirm in writing that there is no liability outstanding in respect of CIS for Body-Care Limited and ITV - Independent Television Limited.’’

And a reply letter dated February 14 last year and signed by finance ministry senior official Ms M.N. Ngingite, with reference number TYC/E/450/11/05, states: ’’We would like to take this opportunity to acknowledge with thanks receipt of bank pay-in slip amounting to 852,554,972/45 with NMB Bank House branch, dated February 6, 2008.’’

’’We hereby confirm to you that you have been cleared of all your outstanding balances emanating from utilization of Commodity Import Support facility by your two companies,’’ the ministry’s letter continued.

Responding to Rostam’s allegations that Anche Mwendu defaulted on a 5bn/- debt obtained from National Bank of Commerce Limited, Ngalo said the bank only provided a letter of guarantee facility to enable the company to import a flask manufacturing plant from an Indian firm, JG Vaccum Flasks Limited.

’’The Indian company supplied Anche Mwendu with a different plant - not that used for manufacturing flasks as required. NBC demanded repayment of the debt, but no cash was ever paid, so we went to court where a judge dismissed the case,’’ Ngalo said.

He said High Court judge Thomas Mihayo’s 1993 verdict dismissing NBC’s loan demand to Anche Mwendu for failing to prove that the money was actually paid out, had never been overturned and thus remains valid.

Ngalo was also dismissive of allegations that, as one of the major shareholders of National Investment Company (NICO), Mengi unduly influenced the board of directors to invest in a non-viable company, Interchem Pharma Limited, which is owned by his brother.

The advocate said Mengi, who was chairman of NICO’s investment committee, was never involved in this decision taken by the board of directors, and that when he later became aware of it, he resigned from his position.

A letter dated August 7, 2007, signed by Mengi himself and addressed to NICO Board chairman Felix Mosha, states point-blank his reasons for resigning as being the fact that NICO had decided to invest in Interchem Pharma Limited.

’’This investment was not recommended by the investment committee, because the proposal thereof was not submitted to the committee as it was required. In other words, it was approved by the board without the recommendation of the investment committee, of which I am the chairman,’’ Mengi wrote in the letter, also produced at yesterday’s news conference.
 
Hivi Mengi alijibu nini kuhusu kiwanja cha katikati ya jiji?

RA naye data zake nyingi zime expire kama madawa na michele wanayotuuzia?
 
unajua ukitazama response ya bwana mengi pamoja na wale wanasheria kuwa nervous, amejibu tuhuma zote very clear akiwa na ushahidi...sasa rostam alichofanya badala ya kujibu hoja alianza kumshtumu mengi, not very clever...kitu ambacho amejiharibia nazani, yeye kila kitu anapinga tu bila ushahidi...hata yule mwanasheria aliyemtumia kwenye kagoda kamkana hata kumjua na kumsikia...shame Rostam....

It is a thin line between nervous and poised.Wanasheria wote wa Mengi walikuwa wanaongea kwa kituo, huku waki "take their time", nothing wrong with that, especially if matters are this grave.

Watu washazoea theatrics, acting and other extra-curricular activities ambazo ni fake tu, jamaa wamejionyesha kuwa serious and to the point, with the occasional and perhaps unavoidable mistake katika lugha, but that can be argued to be trivial.

Wanaojua body language wanaweza kusema Rostam alitoa hints kwamba anadanganya kwa kuwa fidgety na kujishika pua, if you believe in the psychobabble of body language, that is.

Kuna audio au video ya press conference ya Rostam?
 
Last edited:
Angalia video namba 3 wakati Mhe. Rostam anaulizwa maswali...

Yeah nimeiona hiyo as part of that ITV report, nilikuwa interested na taarifa nzima ya Rostam in its entirety.

By the way kudos mzeee, if a picture is a thousand words, then even a small video is a hundred thousand pictures.

Really appreciate the work, second account reports are swell, but nothing substitute seeing for oneself.
 
wajua nilishtuka nilidhani Mengi amerespond tena yeye mwenyewe!!!....

kumbe ni wale wanasheria wake waliokuwa extremely nervous jana as if hawana experience!... although mmoja alijifanya jabbari!!!
Mengi ameamua kuwatumia wanasheria kuliko kubishana na fisadi papa kama RA, ngoja tusubiri hoja zake kwenye vyombo vya sheria kama atathubutu kwenda huko kwani tanga Dr.Slaa amtaje hakuwahi kwenda Mahakamani sijui kama jeuri hiyo anayo sasa.
 
It is a thin line between nervous and poised.Wanasheria wote wa Mengi walikuwa wanaongea kwa kituo, huku waki "take their time", nothing wrong with that, especially if matters are this grave.

Watu washazoes theatrics and other extra-curricular activities ambazo ni fake tu, jamaa wamejionyesha kuwa serious and to the point, with the occasional and perhaps unavoidable mistake katika lugha, but that can be argued to be trivial.

Wanaojua body language wanaweza kusema Rostam alitoa hints kwamba anadanganya kwa kuwa fidgety na kujishika pua, if you believe in the psychobabble of body language, that is.

Kuna audio au video ya press conference ya Rostam?


RA alikuwa anaogopa, nilidhani angeweza kujisaidia pale kwenye mic...duh huyu jamaa kumbe ni mtupu kabisa. NDio maana humsikii kokote hata bungeni...yaani kila kitu kwenye mwili wake kilikuwa kinaonyesha anasema uwongo; macho, kugeuka geuka, kuishiwa kauli n.k.

Anasema hajawahi muona, wala hamjui wakili aliyesema alishinikizwa naye asaini affidavit za kagoda; I mean how stupid that is...si angesema tu anamjua lakini hahusiki na kusaidi affidavit zozote...anaposema hajawahi hata kumuona ni uwongo ambao ni rahisi kukamatika..this guy agggrrrrrr 40 zimefika.
Sasa amempa Mengi upenyo wa kumshitaki kwa uwongo....
 
I think Rostam was more nervous..

Hivyo ni unavyodhani wewe na unaweza ukawa unakosea. Unless uko ndani ya mwili wake, huwezi kujua kama kweli alikuwa nervous au umesoma vibaya lugha yake ya mwili.
 
mengi ameamua kuwatumia wanasheria kuliko kubishana na fisadi papa kama ra, ngoja tusubiri hoja zake kwenye vyombo vya sheria kama atathubutu kwenda huko kwani tanga dr.slaa amtaje hakuwahi kwenda mahakamani sijui kama jeuri hiyo anayo sasa.

kaka ra ameamua kusaidia serekali na kufata kauli mbiu ya ulinzi shirikishi,hivi sasa ninapo post yupo njiani anaelekea pccb kupeleka ushahidi wake dhidi ya mengi,ikiwa kama kweli mengi najuwa anachfanya why asipeleke nae ushahidi wake?
 
kaka ra ameamua kusaidia serekali na kufata kauli mbiu ya ulinzi shirikishi,hivi sasa ninapo post yupo njiani anaelekea pccb kupeleka ushahidi wake dhidi ya mengi,ikiwa kama kweli mengi najuwa anachfanya why asipeleke nae ushahidi wake?

RA akimfix tena Dr Hosea amsaidie kama alivyo chemka kwe Richmond ndiyo atakuwa amemmaliza kabisa Bw Hosea, kwani watanzania hatujasahau alivyolidanganya taifa kuhusu Richmond kwa lengo la kuwalinda mafisadi.
 
Hehe ila natoa angalizo dogo hapa...
Isije ikawa mafisadi wameamua kukoroga vichwa vyetu hapa ili kutupoteza lengo ionekane kana kwamba ni vita vya watu fulani dhidi ya watu fulani maana hii neno mafisadi haipo kwenye ilani ya sisiemu. na sijui wanapata wapi jeuri ya kusema waliinishieti hii move.
ah nawaza kwa sauti hapa
 
Na ili kuweza kusikiliza maswali ya waandishi na majibu ya Mhe. Rostam, nashauri angalia video namba 3 moja kwa moja.

Ahsanteni

una laaaaaaaaaaaaanaaaa weye mambo gani kumvua chu** muhindi wa mwenzio/cijui mwarabu loh kazi imeanza
 
Hawa mawakili mbona wanaogopa ogopa sana ,wasiwasi mwingi mpaka inatia shaka hawa ukiwa na kesi ya kiukweli kweli wanaweza jenga hoja kweli? inaonekana kama vile walipokuwa vyuo walikuwa hawana hata presentation mbele ya wanafunzi wenzao.
 
Hawa mawakili mbona wanaogopa ogopa sana ,wasiwasi mwingi mpaka inatia shaka hawa ukiwa na kesi ya kiukweli kweli wanaweza jenga hoja kweli? inaonekana kama vile walipokuwa vyuo walikuwa hawana hata presentation mbele ya wanafunzi wenzao.

Mheshimiwa these are unusual times for any wakili..hawajazoea ku present evidence to the court of public opinion especially against a king maker (a person who siku moja kabla ajatoa ushaidi bogus against mengi alikuwa ikulu na wazee wa nchi) ..Unusual times indeed...i hope its the beginning though..wasinyweee.
 
Mheshimiwa these are unusual times for any wakili..hawajazoea ku present evidence to the court of public opinion especially against a king maker (a person who siku moja kabla ajatoa ushaidi bogus against mengi alikuwa ikulu na wazee wa nchi) ..Unusual times indeed...i hope its the beginning though..wasinyweee.

Did I read the bold sentence correctly??? Someone assist pse to give evidence. Maana nikijua kama Mkulu mwenyewe JK is on RA side basi tena. Kutokana na jinsi alivyoongea RA na evidence za Mengi alafu JK bado awe side yake then....am confused!
 
Back
Top Bottom